Kwanini RC wa Manyara, Makongoro Nyerere alimpigia saluti ya kijeshi Rais wakati wa kiapo?

Yaani Nyerere ana watoto wengi lakini wote madish kuyumba
 
Anapigaje salute bila sare na kofia ya kijeshi, unapopiga salute ni sharti uwe na kofia, usipokuwa na kofia unatakiwa kubana mikono
labda sikuhizi afande,zimegawanywa zipo salute heshima zakisiasa na heshima za kijeshi
 
Huyo ni retired army officer
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…