Kwanini RC wengine huwa hawana fedha kama ilivyo kwa Makonda?

Kwanini RC wengine huwa hawana fedha kama ilivyo kwa Makonda?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
21,470
Reaction score
40,593
Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.

Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma?

Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?

Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??

Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
 
Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.

Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??

Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?

Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??

Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Makonda ni mult billionaire, ile operesheni fake ya madawa ya kulevya ilimuingizia mabilioni mengi sana na magari ya kifahari.
 
Naona CHADEMA mnaendelea kuhangaika na kuteswa na Nyota kali ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara, Field Marshal ambaye Nyota yake imeiangazia kanda ya kaskazini nzima na kuleta nuru na matumaini katika mioyo ya watanzania.

Mmejitahidi kumchafua Mwamba lakini Mmegonga Mwamba na kuishia kupoteana kama moshi hewani. Na bado maana ndio kwanza hata mwaka bado hajamaliza huko kaskazini.akimaliza mwaka Huyu Mwamba nawahakikishieni ya kuwa tutawatafuta CHADEMA kwa tochi.
 
Wengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi Samia za chini ya kapeti zinasema Samia anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye, hataki kuzidiwa umaarufu
 
Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.

Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??

Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?

Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??

Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Huyo atakuwa na fungu lake maalum la kutatua kero.
 
Naona CHADEMA mnaendelea kuhangaika na kuteswa na Nyota kali ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara, Field Marshal ambaye Nyota yake imeiangazia kanda ya kaskazini nzima na kuleta nuru na matumaini katika mioyo ya watanzania.

Mmejitahidi kumchafua Mwamba lakini Mmegonga Mwamba na kuishia kupoteana kama moshi hewani. Na bado maana ndio kwanza hata mwaka bado hajamaliza huko kaskazini.akimaliza mwaka Huyu Mwamba nawahakikishieni ya kuwa tutawatafuta CHADEMA kwa tochi.
Jibu maswali hapo juu.Anatoa wapi hizo fedha ambazo ma-RCs wengine hawana?
 
Wengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi bibi tozo.za chini ya kapeti zinasema bi tozo anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye.hataki kuzidiwa umaarufu
Hii ilikuwa tabia ya yule ila kwa huyu umemsingizia au umekopi
 
Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.

Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??

Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?

Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??

Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Makonda ni mkuu wa mkoa. Hivi unajua maana yake ni nini?

Taasisi zote, mashirika yote ya umma na yasiyo ya kiserikali yapo chini yake.

Makonda anajua JD yake na kupitiliza. Waliotoa pikipiki na magari ni kina nani?
 
Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.

Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??

Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?

Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??

Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
😆😆😆😆😆
 
Mwamba... Kwenye nchi kama zetu wahalifu huitwa "Mwamba".

Kwa kazi yake hawezi kuwa na ukwasi kiasi alicho nacho Kwa fedha halali.
. Acha kupiga makelele, unatuumiza masikio,

. Huo uhalifu mbona hautaji??, Na ni ukwasi wa kiasi gani alionao makonda ??

. Acha kubeba kila kitu kinachoongelewa kwenye vijiwe vya kahawa. Utaonekana mtu wa maana sana.
 
Wengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi Samia za chini ya kapeti zinasema Samia anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye.hataki kuzidiwa umaarufu
Hilo halikwepeki.rule no 1.never outshine the master.
Swal linalotumiza kichwa,yule dada mkavu ameanza vita huko x,na jitu lenye ujasir wa japo kupambana na limangeo ni limakonda,wote wengine waoga,sasa ngoma inakua ngumu.
 
Toka Uhuru hii nchi watu wengi tu hela zao ni magumashi, hata Leo hii wengi tu hata wale wakubwa kabisa hela zao ni magumashi tu.

Unaccompanied Makonda juu ya hela alizonazo basi ni vyema tukapambana na wale ambao wanamiliki hela kabla hata ya Makonda.

Watanzania wengi walioko kwenye siasa kuanzia CCM mpaka upinzani hela zao ni magumashi tu, money laundering, Rushwa, wizi nk kumnyooshea Makonda kidole ni double standard ya Hali ya juu.
 
tumvumilie tu, huu ni wakati wa Makonda hamna namna tunaweza epuka hili.

Kuna kila sababu ya yeye kuwa alivyo
 
Back
Top Bottom