Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Makonda ni mult billionaire, ile operesheni fake ya madawa ya kulevya ilimuingizia mabilioni mengi sana na magari ya kifahari.Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Watanganyika kwa maneno hamjamboπWengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi Samia za chini ya kapeti zinasema Samia anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye.hataki kuzidiwa umaarufu
Mwamba... Kwenye nchi kama zetu wahalifu huitwa "Mwamba".Huyu mwamba, kwenye midomo ya watu imeshindikana kabisa kusahaulika.
Huyo atakuwa na fungu lake maalum la kutatua kero.Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Jibu maswali hapo juu.Anatoa wapi hizo fedha ambazo ma-RCs wengine hawana?Naona CHADEMA mnaendelea kuhangaika na kuteswa na Nyota kali ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara, Field Marshal ambaye Nyota yake imeiangazia kanda ya kaskazini nzima na kuleta nuru na matumaini katika mioyo ya watanzania.
Mmejitahidi kumchafua Mwamba lakini Mmegonga Mwamba na kuishia kupoteana kama moshi hewani. Na bado maana ndio kwanza hata mwaka bado hajamaliza huko kaskazini.akimaliza mwaka Huyu Mwamba nawahakikishieni ya kuwa tutawatafuta CHADEMA kwa tochi.
Hii ilikuwa tabia ya yule ila kwa huyu umemsingizia au umekopiWengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi bibi tozo.za chini ya kapeti zinasema bi tozo anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye.hataki kuzidiwa umaarufu
Makonda ni mkuu wa mkoa. Hivi unajua maana yake ni nini?Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
πππππTangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
. Acha kupiga makelele, unatuumiza masikio,Mwamba... Kwenye nchi kama zetu wahalifu huitwa "Mwamba".
Kwa kazi yake hawezi kuwa na ukwasi kiasi alicho nacho Kwa fedha halali.
Hilo halikwepeki.rule no 1.never outshine the master.Wengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi Samia za chini ya kapeti zinasema Samia anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye.hataki kuzidiwa umaarufu
Sasa mwizi, jambazi, mwuaji anasahaulikaje? Akisahaulika si atavamia hata benki kuu?Huyu mwamba, kwenye midomo ya watu imeshindikana kabisa kusahaulika.