saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
We unajuajw pesa zakeTangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Makonda ni mhalifu aliyecheleweshwa kupanda kizimbani, lakini atapanda tu na ndoo ya gereza atanyea.Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
. Ameiba nini??Sasa mwizi, jambazi, mwuaji anasahaulikaje? Akisahaulika si atavamia hata benki kuu?
Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-. Acha kupiga makelele, unatuumiza masikio,
. Huo uhalifu mbona hautaji??, Na ni ukwasi wa kiasi gani alionao makonda ??
. Acha kubeba kila kitu kinachoongelewa kwenye vijiwe vya kahawa. Utaonekana mtu wa maana sana.
WE pelekwa Dar,mwanza,arusha na mbeya ukikosa pesa basi wewe jingaTangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Hizo story umetoa wapi??, tupe source na sisi tuone kama ni kweli unachozungumzia..Huyu mhalifu mwenye bahati lazima atakuja kabiliana na HAKIMU baada ya utawala wa Samia kwa tuhuma hizi:-
1. Kuuawa kwa Ben Saanane
2. Kushambuliwa Tundu Lissu
3. Kuuawa kwa Akwilina
4. Kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu kutoka kwa wafanyabiashara kama GSM, NAS, GBP, Yusuf Manji
5. Kuvamia kituo cha radio/TV cha Clouds
6. Kumteka Roma Mkatoliki
7. Kumteka Mo Dewji
Mkuu,uandishi wako umefanana sana na uandishi wa marehemu Lemutuz.Naona CHADEMA mnaendelea kuhangaika na kuteswa na Nyota kali ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara, Field Marshal ambaye Nyota yake imeiangazia kanda ya kaskazini nzima na kuleta nuru na matumaini katika mioyo ya watanzania.
Mmejitahidi kumchafua Mwamba lakini Mmegonga Mwamba na kuishia kupoteana kama moshi hewani. Na bado maana ndio kwanza hata mwaka bado hajamaliza huko kaskazini.akimaliza mwaka Huyu Mwamba nawahakikishieni ya kuwa tutawatafuta CHADEMA kwa tochi.
JOKATE amepewa ubalozi Mirembe , anawatafuta CHAWA mkafanyiwe uchunguzi.Makonda bomayee!
Nakupa moja tu hapa. Ingia youtube tafuta Makonda avamia Clouds studio. Utaukuta ushahidi wa kumwagaHizo story umetoa wapi??, tupe source na sisi tuone kama ni kweli unachozungumzia..
Kama umefuatilia huwa anachangisha. Hata hivyo kiongozi kusumbuliwa na hela ndogondogo milion hizi ziko ndani ya uwezo wake.Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Kwa hiyo kuvamia clouds studio, ndo inaashiria kuwa ni mujaji??? 🤔🤔Nakupa moja tu hapa. Ingia youtube tafuta Makonda avamia Clouds studio. Utaukuta ushahidi wa kumwaga
[emoji23][emoji23][emoji23]Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Never out shine your master...ila Kuna Murphy Law and Makonda storming conditions. Hizi zinaenda sambamba.Hilo halikwepeki.rule no 1.never outshine the master.
Swal linalotumiza kichwa,yule dada mkavu ameanza vita huko x,na jitu lenye ujasir wa japo kupambana na limangeo ni limakonda,wote wengine waoga,sasa ngoma inakua ngumu.
Tuliza makalio, subiri siku ya siku. Omba Mungu akupe uhai. Huyu bazazi kitu pekee kutakacho muepusha na jela ni kifo tu kabla ya awamu ya 6 haijatoka madarakaniKwa hiyo kuvamia clouds studio, ndo inaashiria kuwa ni mujaji??? 🤔🤔
Unapomchangisha Mfanyabiashara lazima kuna kitu utakuja mlipa kwa njia ya CORRUPTION.Kama umefuatilia huwa anachangisha. Hata hivyo kiongozi kusumbuliwa na hela ndogondogo milion hizi ziko ndani ya uwezo wake.
Na hili liko pending likisubiri serikali ya kweli ikiingia madarakani. Jinai haiozi wala kuchacha, ataishia jela kwa matendo yake mabovu.Makonda ni mult billionaire, ile operesheni fake ya madawa ya kulevya ilimuingizia mabilioni mengi sana na magari ya kifahari.