. Sasa mbona unaishia kutukana??Tuliza makalio, subiri siku ya siku. Omna Mungu akupe uhai. Huyu bazazi kitu pekee kutakacho muepusha na jela ni kifo tu kabla ya awamu ya 6 haijatoka madarakani
Hoja yangu kunatakiwa kuwe na uwazi kujua viongozi wetu wanapataje mali zao.. Sasa mbona unaishia kutukana??
π€,
. Ndo kusema hoja umeishiwa au??
Hoja yangu kunatakiwa kuwe na uwazi kujua viongozi wetu wanapataje mali zao.
Au ukiwa kiongozi/mtawala ndiyo uhojiki!??
Hili swali usingeuliza kama ungekuwa umesoma swali nililouliza.. Unataka kuniambia makonda anatumia mali zake, kutatua kero za wananchi ?? π€π€
Sasa ulidhani jamiiforum ni sehemu ya kutapika upumbavu kama unaoufanya? Unaandikia watu, ukileta upumbavu unapigwa spana.JF ya baba yako?, shwaaaain.
Jibu swali hela za Makonda zimetoka wapi?Wengine hawana ubunifu tofauti na Makonda ambaye ni mbunifu kumuzidi Hadi Samia za chini ya kapeti zinasema Samia anataka kumfukuza kazi Kwa sababu amekuwa maarufu sana kumzidi yeye, hataki kuzidiwa umaarufu
Convincing power na ushawishi wa MAKONDA ni mkubwa sana, anao wadau wengi huwafika na wanapesa nyingi sana hazina matumizi, hivyo huwafika na kuwaeleza malengo na nia yake kwa jamii, wadau hao wengi humuelewa na kumchangia.Tangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma??
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Aisee. "Wana pesa nyingi Sana hazina matumizi..." Mwisho wa kunukuu!!Convincing power na ushawishi wa MAKONDA ni mkubwa sana, anao wadau wengi huwafika na wanapesa nyingi sana hazina matumizi, hivyo huwafika na kuwaeleza malengo na nia yake kwa jamii, wadau hao wengi humuelewa na kumchangia.
Za kuambiwa changanya na zako
Hili ni jibu?Huyu mwamba, kwenye midomo ya watu imeshindikana kabisa kusahaulika.
Hawana jibu... Wanataka tuzoee tu...Hili ni jibu?
Siasa za kitoto hizi. Wewe unaamini alivamia kweli? Wale clouds walim snitch. Na sasa hivi wanajipendekeza kumpa coverage.Makonda ni mhalifu aliyecheleweshwa kupanda kizimbani, lakini atapanda tu na ndoo ya gereza atanyea.
Siku hazigandi. Mwaka 2030 Samia akitoka lazima Makonda aisome namba iwe ni Serikali ya CCM au UPINZANI.
Natamani gwaji boy aulizwe jina la mkuu wa mkoa wa arusha anaitwa naniNaona CHADEMA mnaendelea kuhangaika na kuteswa na Nyota kali ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara, Field Marshal ambaye Nyota yake imeiangazia kanda ya kaskazini nzima na kuleta nuru na matumaini katika mioyo ya watanzania.
Mmejitahidi kumchafua Mwamba lakini Mmegonga Mwamba na kuishia kupoteana kama moshi hewani. Na bado maana ndio kwanza hata mwaka bado hajamaliza huko kaskazini.akimaliza mwaka Huyu Mwamba nawahakikishieni ya kuwa tutawatafuta CHADEMA kwa tochi.
Kichwa chako ni mzigo kwenye kiwikiwili. Bora ungezaliwa headlessSiasa za kitoto hizi. Wewe unaamini alivamia kweli? Wale clouds walim snitch. Na sasa hivi wanajipendekeza kumpa coverage.
Mbona mm ni mkereketwa wa Chadema namkubali makonda, usilete siasa kwenye uongozi unaosikiliza matatizo ya wananchi, Uongozi ni karama, uongozi ni kujiongeza, uongozi ni ubunifu, Makonda vyote anavyo, RC's wengi nchini hawana karama ya uongozi bali wamepewa uongozi kwa nguvu ya chama, hivi jifikirie Rais wa nchi anakuwa Makonda PM anakuwa mtaka, Tundu Lissu waziri wa Sheria, baada ya miaka mitano inchi itakuwa wapi? Nchi yetu sio masikini ni vile tu hatupati viongozi madhubuti kama kina Magufuli....Naona CHADEMA mnaendelea kuhangaika na kuteswa na Nyota kali ya Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda kijana jasiri kusini mwa jangwa la sahara, Field Marshal ambaye Nyota yake imeiangazia kanda ya kaskazini nzima na kuleta nuru na matumaini katika mioyo ya watanzania.
Mmejitahidi kumchafua Mwamba lakini Mmegonga Mwamba na kuishia kupoteana kama moshi hewani. Na bado maana ndio kwanza hata mwaka bado hajamaliza huko kaskazini.akimaliza mwaka Huyu Mwamba nawahakikishieni ya kuwa tutawatafuta CHADEMA kwa tochi.
DAB ni jizi. liliiba sana kipindi cha Jiwe. pia ma-tycoon wa unga walimpenyeshea sana rupia kipindi cha Ile operesheni uchwaraTangu akiwa Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amekuwa akitatua shida za watu zinazohutaji fedha kirahisi Sana.
Kuna wakati inaleta maswali, jee hizo fedha ni zake binafsi ama ni za umma?
Kama ni zake binafsi, jee zinatokana na mshahara wake, michango ya marafiki zake au Faida kutokana na biashara anazofanya!?
Lakini kama ni fedha za umma jee Kwa nini wakuu wa mikoa mwingine hawaonekani kuwa na ukwasi kama wake!??
Au wakuu wa mikoa mingine huwa hawataki kutumia pesa zilizotemgwa kwa ajili ya kuwagawia wananchi kwenye mikoa wanayoingoza!?
Duh!DAB ni jizi. liliiba sana kipindi cha Jiwe. pia ma-tycoon wa unga walimpenyeshea sana rupia kipindi cha Ile operesheni uchwara
JOKATE amepewa ubalozi Mirembe , anawatafuta CHAWA mkafanyiwe uchunguzi.