Kisoda James
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 1,114
- 813
Rais Samia anafanya kazi kubwa wazo la kumuongezea muda ni wazo zuri sanahuko duniani ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rais Samia anafanya kazi kubwa wazo la kumuongezea muda ni wazo zuri sanahuko duniani ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia
Kupigia kura aliyetumwa na Wazungu mwaka 2020 hadi mababu na mabibi wangetulaani Kura yangu nilimpa Rais Samia tu.Rais Samia anafanya kazi kubwa wazo la kumuongezea muda ni wazo zuri sana
Rais Samia hakuhitaji kupiga kampeni mwaka jana 2020, hata angekaa tu ofisini lazima angechaguliwa kwa kishindo kwa maana uwezo wake unambeba.Kupigia kura aliyetumwa na Wazungu mwaka 2020 hadi mababu na mabibi wangetulaani Kura yangu nilimpa Rais Samia tu.
Samia aliposema yeye ni kiongozi anayewajali sana wanyonge na watu wa chini wapinzani walidhani anatania?Rais Samia hakuhitaji kupiga kampeni mwaka jana 2020, hata angekaa tu ofisini lazima angechaguliwa kwa kishindo kwa maana uwezo wake unambeba.
Rais Samia atatufikisha tu kama ndani ya miaka mitano akiwa na JPM ametufikisha uchumi wa kati haitachukua muda kumfikia Russia.Samia aliposema yeye ni kiongozi anayewajali sana wanyonge na watu wa chini wapinzani walidhani anatania?
Hii Nchi imetoka mbali yale mawazo na ndoto za Nyerere yanaanza kutekelezwa na Rais Samia.Rais Samia atatufikisha tu kama ndani ya miaka mitano akiwa na JPM ametufikisha uchumi wa kati haitachukua muda kumfikia Russia.
Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.Hii Nchi imetoka mbali yale mawazo na ndoto za Nyerere yanaanza kutekelezwa na Rais Samia.
Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.Mkuu ni vile tu Rais Samia alitoa heshima kupita kila jimbo kusalimia Wananchi. Ila hata angekaa ofisini ushindi wa kishindo ulikuwa lazima.
Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera saaaana mama yetu Samia.Chadema wamebaki na nguvu Twitter Chadema wamekuwa kama Kiba wanaomchukia Diamond.
That's why Presdent Samia was declared the hero of Africa.Kama Rais Samia ameweza kutupeleka uchumi wa kati kwa miaka mitano tu basi haitachukua muda kumfikia USA Hongera saaaana mama yetu Samia.
Rais yetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadiThat's why Presdent Samia was declared the hero of Africa.
Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.Rais yetu mama Samia wewe ndiye tunayekutegemea kutufikisha nchi ya ahadi
Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia.Mkuu, mwambie Rais Samia kuwa Asante kwa bwawa la umeme la Nyerere.
huko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.Mbona Rais Samia anatoa elimu bure ? Waambieni Chadema kazi yao ni kununua sare tu ada wanalipiwa na Samia.
Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.huko Ulaya ukisema unatoka Tanzania wanaanza kukudadisi mambo mema kuhusu Rais Samia.
Siasa kama siasa.Usimfananishe Rais Samia na vitu vya hovyo kama vile Lissu kibaraka wa wazungu.
I'm not even sure of that....Huyo russia ni takataka tu mbele ya wanaume