Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #141
Kaka mkubwa anajua sana kufafanua. Hakika yupo njema.Naendelea kujifunza mkuu, twende pamoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka mkubwa anajua sana kufafanua. Hakika yupo njema.Naendelea kujifunza mkuu, twende pamoja
JF kuna watu wanajua mambo ile deep mpaka rahaKaka mkubwa anajua sana kufafanua. Hakika yupo njema.
Humu kumejaa vichwa hatariJF kuna watu wanajua mambo ile deep mpaka raha
Kuna ndugu yako mmoja anaitwa Habibu B. Anga sijui siku hizi yupo wapi?Humu kumejaa vichwa hatari
dah, haya mahaba haya!Russia ya 2002 sio hii ya 2020 kwa sasa wana mabavu kiasi hata cha kuitandika ulaya yote hata wakiamua leo saa saba mchana.
Hahahahaaaa mkuu hayo sio mahaba mrusi ni mtu mwingine mzee baba. Wale jamaa ni saa mbovu. Wana silaha nzito na pesa za kutisha. Wakiitaka Ulaya nzima hata leo saa tano usiku inakuwa yao.
Russkies are no jokeHahahahaaaa mkuu hayo sio mahaba mrusi ni mtu mwingine mzee baba. Wale jamaa ni saa mbovu. Wana silaha nzito na pesa za kutisha. Wakiitaka Ulaya nzima hata leo saa tano usiku inakuwa yao.
Wanajua mambo mengi kwa sababu wanapenda sana kusoma sio wewe unawaza papuchi muda wote.JF kuna watu wanajua mambo ile deep mpaka raha
Warusi wana silaha nzito ambazo Wamarekani hawanaRusskies are no joke
Habibu yupo sana sana FacebookKuna ndugu yako mmoja anaitwa Habibu B. Anga sijui siku hizi yupo wapi?
Habibu Hanga ni mzanzibar mtaalam sana wa siasa za kimataifa.Habibu yupo sana sana Facebook
Russians ndio Russkies? Sawa bhanaRusskies are no joke
Baba yangu mkubwa alifanya sana kazi Russia alivyorudi bongo akawa kama chizi hiviRussians ndio Russkies? Sawa bhana
Chizi maarifa wanaitwaga. Wanakuwa kama vichaa ila wanajua mambo mengi sana.Baba yangu mkubwa alifanya sana kazi Russia alivyorudi bongo akawa kama chizi hivi
Wengi waliosoma Russia wanakuwaga kama vichaa kwa sababu ya mapombe yao makalimakali.Chizi maarifa wanaitwaga. Wanakuwa kama vichaa ila wanajua mambo mengi sana.
Wanazo mpaka nyuklia hawaRusskies are no joke
Wapo katika mkataba na Marekani wa kupunguza stockpiles kwa maana zimejaa pomoniWanazo mpaka nyuklia hawa
Hivi unajua China pia anazo?Wapo katika mkataba na Marekani wa kupunguza stockpiles kwa maana zimejaa pomoni
Hawa jamaa mpaka chanjo ya Korona wanayoRusskies are no joke