AggerFirminho
JF-Expert Member
- Sep 17, 2019
- 2,318
- 4,106
Wewe ndo hujaelewa. Iraq Inapakana na sryria akini Iraq haipakani na Russia.Sasa mbona unajikanganya mwenyewe? Hizi statement hazipo sahihi hata kidogo.
Kuna border ya Syria/Turkey kwa upande wa Russia.
Mara zote Russia hulinda nchi zinazopakana na Yeye ili. Marekani asiweke kambi maana huwezi kuacha adui akuchungulie dirishani.
Iraq ingepakana na Russia Putin angemlinda sAdam. Wala hawana habari kama unaua raia Wako. Kwa sumu hilo haliwahusu. Ilimradi utalinda maslahi yako.
Western ndo kwa jicho la. Mbali ndio huangaliaga hizo mambo.
View attachment 1575837