Infantry Soldier
JF-Expert Member
- Feb 18, 2012
- 15,892
- 16,476
- Thread starter
- #41
Kwanini Russia anamlinda? Hakuna ushirika usiokuwa na jambo nyuma ya pazia.Bashar Assad ni mshirika mkubwa wa Russia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini Russia anamlinda? Hakuna ushirika usiokuwa na jambo nyuma ya pazia.Bashar Assad ni mshirika mkubwa wa Russia
Russia walipitisha azimio la kuwapokonya Iraq WMDs lakini hawakuwahi kupitisha azimio la kuwapokonya kwa kutumia nguvu...How come waliruhusu wakati na wenyewe walipitisha kwa kura ya NDIYO UN Security Council Resolution #1441 ambayo ilitaka Iraq MUST be disarmed?!
Ndio ninaweza kukutajia. Nimekujibu katika post yangu number 43 hapo juu.Unaweza kutaja nilichochanganya ni nini?!
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Eti ndugu zangu watanzania (wale tu mnaofuatilia siasa za kimataifa kwa muda mrefu kama mimi);
Kwanini Russia ilishindwa kumtetea Saddam Hussein wa Iraq ila kwa sasa inamkingia kifua Bashar Al-Assad wa Syria ilhali nchi hizi mbili zinapakana?
Tafadhali tazama ramani ndogo ya nchi za mashariki ya kati hapo chini;
View attachment 1575807
Ndio tuseme kuna unafiki unaendelea ndani ya baraza la usalama la umoja wa mataifa (UNSC)?
Russia na China walisusia kupiga kura turufu (VETO) jambo lilipelekea wanachama wengine wa baraza la usalama la umoja huo (U.S.A, France and the United Kingdom) kuridhia kwa pamoja uvamizi dhini wa Saddam Hussein wa Iraq. Kwanini Russia hao hao hawakususia kupiga kura ya VETO dhidi ya Syria ya Assad?
NB: Ninaomba mtu asije akaongelea ama kuuliza kwanini Russia haikumtetea Muammar Gadaffi kwa maana Iraq na Libya ni mbali sana ukilinganisha Iraq na Syria.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Na US umeisahauHapana boss. Ninakataa katakata.
Russia has boundaries with 14 countries: Norway, Finland, Estonia, Latvia, Lithuania, Poland (via the Kaliningrad Oblast), Belarus, Ukraine, Georgia, Azerbaijan, Kazakhstan, Mongolia, the People's Republic of China and North Korea...
Nimeisahau kivipi labda?Na US umeisahau
AlaskaNimeisahau kivipi labda?
Alaska imefanya nini?Alaska
Saddamu alikuwa kibaraka wa marekani,,lakini tatizo ni kuwa iraq ilikuwa inakuja juu na kuwa tishio kwa israel kipindi hicho kuanzia miaka ya 90,iraq ilikuwa na uhusiano mzuri na marekani,lakini ilikuwa haijawa na amani na israel,kwani bado ikiwasaidia wapalestine,Baada ya shambulizi la chemikali huko Syria, Russia alikuwa na uhakika kuwa ni kweli Assad alikuwa na WMD, lakini hakumuacha afe peke yake. Kwanini?...
Hapo nimejichsnganya kuandika Alaska but Russia na us Wana mmipaka ya majini katika Bering sea, Arctic ña pasifik. Hii ni kutokana na mkataba uliosainiwa na Soviet Russia na US katika 1990 hiyo ni kabla ya total colapse ya Soviet katika 1991 . Hata hivyo mipaka hiyo ipo mpaka leo. Lakini pia Russia imepakana na nchi 16 na si 14Alaska imefanya nini?
Sawa. Uzalendo muhimu.Nimependa ujumbe wa mwisho
Sawa...Hapo nimejichsnganya kuandika Alaska