Kwanini Saido alishindwa kuwaokoa Simba SC kwenye CAFCL?

Wewe Jamaa sijui akili zako huwa zinaenda wapi.Aliwafunga Zalan hatua ya awali, hatua ambayo hata ufunge goli 1000 hakuna anaeshtuka halafu Wewe unataka tuyahesabu mbaya zaidi Zalan ni Rhino rangers ya sudani.
Mkuu tuende Sasa Kwa saidoo

Unadhani haya magoli sio ya mchongo [emoji1]
 
Au ndugu mleta mada unahisi zile mechi na zalan na hilal zilikuwa ni club bingwa, zile zilikuwa ni preliminary stage ambayo angemfunga al hilal ndio angeaingia club bingwa.
 
Au ndugu mleta mada unahisi zile mechi na zalan na hilal zilikuwa ni club bingwa, zile zilikuwa ni preliminary stage ambayo angemfunga al hilal ndio angeaingia club bingwa.
Swali ni Kwann saido ashindwe kutuvusha clabu bingwa
 
shirikisho la waliofeli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Saido kashindwa kufunga hata offside 3
 
Kwani simba ilitolewaje Caf champions league na ilitolewa na team gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…