Kwanini Saido alishindwa kuwaokoa Simba SC kwenye CAFCL?

Kwanini Saido alishindwa kuwaokoa Simba SC kwenye CAFCL?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aitoe wapi picha? Hata huyo Mayele mwenyewe anajua kabisa kiatu hatopewa, wanapewa wale wanaoshiriki CL.Alivyo na bahati mbaya sasa hata kiatu cha NBCPL anabeba Godfather wa Bujumbura.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo maana anabaki kutapa tapaa tyuuh.
 
FyW3JT-XwAA-IzA.jpg
 
Back
Top Bottom