Kwanini Saido alishindwa kuwaokoa Simba SC kwenye CAFCL?

Kwa nini Mayele alishindwa kuwapeleka Yanga Klabu Bingwa?

Ukiishajua maana ya klabu bingwa, utajua kwa nini
Kwanini mwakarobo kila siku ni wasindikizaji bora wa CAFCL? ukishaelewa hakunaga bahasha wala ushirikina wa kuwasha moto basi hupaswi kuendelea kuteseka kuwa Makolokolo FC, hamia Yanga FC Mabingwa kila siku upate raha

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Huwa uto siwaelewi kabisa, mambo yenu mengi mnayafanya bila maarifa ya kutosha. Sasa Kibu Mkandaji na wenzake wapo kwenye Porsche Convertible, kina Mayele wako kwenye daladala halafu hii inatakiwa iwe dhihaka kwa Simba?
 
Jiulize pia kwann mayele alishindwa kuwafanya muingie angalau makundi ya cafcl.
 
Huwa uto siwaelewi kabisa, mambo yenu mengi mnayafanya bila maarifa ya kutosha. Sasa Kibu Mkandaji na wenzake wapo kwenye Porsche Convertible, kina Mayele wako kwenye daladala halafu hii inatakiwa iwe dhihaka kwa Simba?
Mmoja yupo juu
 
Kwa kifupi Klabu Bingwa ni kombe la mabingwa na Kombe la shirikisho ni kombe la washirika... Hata IHEFu, NAMUNGO wanaruhusiwa kushiriki
 
Mayele lini kaisaidia yanga club bingwa?
 
Kwa sababu champions leage ni kugumu kuliko shirikisho, huyo mayele kashindwa kuiokoa timu yake kuingia hata makundi tu champions leage
 
Kwa hiyo wewe ukiishi floor ya 6 kwenye ghorofa Keko utamcheka anayeishi kwenye mjengo wa maana unaojitegemea kule Ununio?
Yaaaah kama kama gharama ya kuishi ghorofani ni kubwa kuliko ya kuishi kule keko kidimbwi
 



Unajua unachoongea? Hizi Ruvuma shooting sijui na Police ni team za kufungwa tu, sio wale wanaume. Ni sawa na Ndada cup.
 
Kwa kifupi Klabu Bingwa ni kombe la mabingwa na Kombe la shirikisho ni kombe la washirika... Hata IHEFu, NAMUNGO wanaruhusiwa kushiriki
Sasa kolo ana ubingwa Gani......labda kuwafunga ... horoya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…