Kwanini Sasa hivi Mashangazi wanawapenda vijana Siri ni nini hasa.?

Kwanini Sasa hivi Mashangazi wanawapenda vijana Siri ni nini hasa.?

Kwanini Sasa hivi Mashangazi wanawapenda vijana Siri ni nini hasa?

Moja kwa moja kwenye mada
Imekuwa trend siku hizi kusikia mahusiano ya mwanamke mkubwa mnene hivi mwenye nyama nyingi aka mshangazi. Ishu yangu iko hivi; Juzi nilikuwa ofsini. Akaja dada mmoja bonge ofcourse ni mkubwa kwangu kiumri like kama 8 years.

Nikamhudumia shida yake ya kiofisi fresh kabisa na mwisho akaomba namba kwa kuwa kulikuwa na vitu napaswa kumsaidia ili kukamilisha shida yake.

Baadae alinicheki nikamsaidia ishu siku hiyo hiyo na ikawa imesha. Lakini chaajabu ni kuwa dada huyu hakuacha kunipigia simu. Aliendelea kunicheki kila muda na kuniuliza vimaswali vya hapa na pale ananiuliza. Mara umekula, unakaa na nani? Yule dada niliyemkuta wote ofsini ni nani yako nk nk. Mwisho kabisa baada ya kuchati sana usiku nikamwambia mie nalala. Akaniambia anaomba anipigie. Nikamjibu just call me. Akapanda hewani. Ofcourse tuliongea mengi anikisifu kuwa kumsaidia. Mwisho akaniuliza huna cha kuniambia nikamjibu sina. Baada ya kukata simu akanitext kuwa yuko pekee yake chumbani hana kampani na anakunywa savana na zinampelekesha mno.


As man niliyekamilika na ninasikia stori za wadada na savana zinavyowafanya nikajikuta nababaika nijibu nini. Ikabidi nijifanye sijui kwa kuumuliza hiyo savana inamfanyaje?
hakuchelewa akajibu inampa ny**e.. ewaaaah daa wakuu damu yangu ikachemka mno.

Ikafuatiwa sms kuwa ananipenda. Kiufupi tulichati mno mpaka usiku mrefu full kuny***shana. Mapaka sasa nimeshindwa kuamua. Niwe na msimamo upi. Natami kutafuna sababu daa kuacha mtu amenililia vilf ni mbaya. Upande mwingine nina girlfriend wangu na hana nyama nyingi km huu mshangazi. Nikiweks kwenye mzani my girlfriend hafiki hata robo.

Kiukweli naogopa hii ni mara ya tatu ofsini natongozwa na mishangazi. Nashindwa kuelewa nifanye nini? Nimejaribu kuuliza kwanini kaniona mimi kati ya wanaume wengi ambao tuko ofsini akajibu ohh we ni mpole na una ustaarabu mno. Kila atakayehudumiwa na wewe atafurahi tu

Nishaurini maana anasumbua mno
Eti nifanyaje? Mpaka sasa ni wiki ya pili imepita, kila siku ananicheki. Yaani nashindwa kuamua. Nasikia ukiingia kwwa mishangazi huchomoki eti ni kweli?
Mshangazi tusaidie kujibu swali basi.
 
Hawa mashangazi kipindi wakiwa mabinti mara nyingi huwa wanakua viburi, kutokana na kupata attention kutoka kwa wanaume wengi.

Sasa umri unaposonga mambo hubadilika taratiiibu unakuta tena ile attention kutoka kwa wanaume halisi inaanza kupungua, wale waliomtongoza enzi za ubinti wamuoe aliwakataa.

Anapofikia umri fulani kila akifosi apate mwanaume wa maana inakua ni too late, hapo sasa ndio anaamua kukimbilia kwa hivi vitoto, na kwa kuwa hivi vitoto mara nyingi huwa bado vinajitafuta kiuchumi huwa vinakua easy target.

Na akishakipata anakifanya sex toy(walking dildo) kwa ujira wa vipesa na vizawadi vidogo vidogo akiwa anajaribu kuitafuta furaha kitu ambacho hawezi kufanya kwa real men ambao nao tayari umri umeshasogea,wameshajipata na kuna uwezekano kabisa wameshaoa
 
Kwanini Sasa hivi Mashangazi wanawapenda vijana Siri ni nini hasa?

Moja kwa moja kwenye mada
Imekuwa trend siku hizi kusikia mahusiano ya mwanamke mkubwa mnene hivi mwenye nyama nyingi aka mshangazi. Ishu yangu iko hivi; Juzi nilikuwa ofsini. Akaja dada mmoja bonge ofcourse ni mkubwa kwangu kiumri like kama 8 years.

Nikamhudumia shida yake ya kiofisi fresh kabisa na mwisho akaomba namba kwa kuwa kulikuwa na vitu napaswa kumsaidia ili kukamilisha shida yake.

Baadae alinicheki nikamsaidia ishu siku hiyo hiyo na ikawa imesha. Lakini chaajabu ni kuwa dada huyu hakuacha kunipigia simu. Aliendelea kunicheki kila muda na kuniuliza vimaswali vya hapa na pale ananiuliza. Mara umekula, unakaa na nani? Yule dada niliyemkuta wote ofsini ni nani yako nk nk. Mwisho kabisa baada ya kuchati sana usiku nikamwambia mie nalala. Akaniambia anaomba anipigie. Nikamjibu just call me. Akapanda hewani. Ofcourse tuliongea mengi anikisifu kuwa kumsaidia. Mwisho akaniuliza huna cha kuniambia nikamjibu sina. Baada ya kukata simu akanitext kuwa yuko pekee yake chumbani hana kampani na anakunywa savana na zinampelekesha mno.


As man niliyekamilika na ninasikia stori za wadada na savana zinavyowafanya nikajikuta nababaika nijibu nini. Ikabidi nijifanye sijui kwa kuumuliza hiyo savana inamfanyaje?
hakuchelewa akajibu inampa ny**e.. ewaaaah daa wakuu damu yangu ikachemka mno.

Ikafuatiwa sms kuwa ananipenda. Kiufupi tulichati mno mpaka usiku mrefu full kuny***shana. Mapaka sasa nimeshindwa kuamua. Niwe na msimamo upi. Natami kutafuna sababu daa kuacha mtu amenililia vilf ni mbaya. Upande mwingine nina girlfriend wangu na hana nyama nyingi km huu mshangazi. Nikiweks kwenye mzani my girlfriend hafiki hata robo.

Kiukweli naogopa hii ni mara ya tatu ofsini natongozwa na mishangazi. Nashindwa kuelewa nifanye nini? Nimejaribu kuuliza kwanini kaniona mimi kati ya wanaume wengi ambao tuko ofsini akajibu ohh we ni mpole na una ustaarabu mno. Kila atakayehudumiwa na wewe atafurahi tu

Nishaurini maana anasumbua mno
Eti nifanyaje? Mpaka sasa ni wiki ya pili imepita, kila siku ananicheki. Yaani nashindwa kuamua. Nasikia ukiingia kwwa mishangazi huchomoki eti ni kweli?
Picha imenifurahisha, gen Z anataka kunyenyua mzigo😁😁😜.

Lakini kuhusu stori zako bwana naona unatusumbua tu.

Aidha ulishakula mzigo zamani, halafu unakuja kujifurahisha tu na kutusanifu kutaka mawazo yetu.

Tukubali ama tukukataze kwako wewe na hawara yako ni cheko tu.

Tena wale wenye mawazo ya kihafidhina ndiyo utawananga sana ukiwa na huyo mshangazi wako kakubeba juu ya kifua chake huku ukililia kufunga goli la mkono.

Vijana wa siku hizi wabaya sana nyie, maana hamna uoga.
 
Hawa mashangazi kipindi wakiwa mabinti mara nyingi huwa wanakua viburi, kutokana na kupata attention kutoka kwa wanaume wengi.

Sasa umri unaposonga mambo hubadilika taratiiibu unakuta tena ile attention kutoka kwa wanaume halisi inaanza kupungua, wale waliomtongoza enzi za ubinti wamuoe aliwakataa.

Anapofikia umri fulani kila akifosi apate mwanaume wa maana inakua ni too late, hapo sasa ndio anaamua kukimbilia kwa hivi vitoto, na kwa kuwa hivi vitoto mara nyingi huwa bado vinajitafuta kiuchumi huwa vinakua easy target.

Na akishakipata anakifanya sex toy(walking dildo) kwa ujira wa vipesa na vizawadi vidogo vidogo kitu ambacho hawezi kufanya kwa real men amvao nao tayari umri umeshasogea,wameshajipata na kuna uwezekano kabisa wameshaoa
Hii ni fact.
 
Back
Top Bottom