Kwanini Sasa hivi Mashangazi wanawapenda vijana Siri ni nini hasa.?

Kijana kuwa makini.. mashangazi yanapenda vijana ili kutimiza haja zao cha kimwili. Suala hili kwa sasa limekuwa likipigiwa chapuo hadi na media ndiΓ² mana linonekana la kawaida. Chunga mkuΓΉ Mashangazi mengi yanaumwa. Tengeneza kanuni na sheria kuhusu maisha yako ya ngono na mahusiano zitakazokuongoza kulinda maisha yako....maisha ni matamu sana ukiwa na afya njema.
 
Ungeweka na location ya ofisi yako iliko, ili wateja hao mashangazi waje wengi na kwa wingi.

Tangazo halijakamilika. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kijana wa hovyo
 
Click to expand then angalia kwenye underline uone jinsi muda unavyokwenda kasi
 
Anakupoteza huyo IKO LAANA YA UZINZI inasumbua sanaa vijana na weng wamepotezwa na hii mishangazi na shetan yupo road s kila anayekuambia NAKUPENDA anakupenda kwel mwingine n agent na hajielew yy ka n agent ukizin naye imeenda hio NYOTA YA MAFANIKIO ina run na mwisho wa sik mikos ming usha harib maisha HIO MINYAMA MKUU haina maana yoyote n matamanio ya muda mfup pale anapo vua CHUPI after that hamna insh kuwa makin mkuu haya maisha ss vijana n nuru kwao wazee wame log out ss sasa,,, zile mishe TUNAZO SIKILIZIA HATUTOBOI TUTAFELIIII
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…