samsun
JF-Expert Member
- Feb 9, 2014
- 7,386
- 5,965
Tanzania kama sio Afrika nzima msanii anayeongoza kwa kuongelewa vibaya ni DIAMOND PLATNUMZ,na kama wewe ni mfuatiliaji wa hizi tuzo utakumbuka kuwa mwaka jana kwenye tuzo hizi za MTV mama MTUMBUIZAJI BORA AFRICA ALIKUWA NI YEYE DIAMOND PLATNUMZ.Mimi sio mshabiki wa ali kiba hata kidogo, na wala cpendezwi na maringo yake na kujifanya kwake kuwa yeye ni mkuu. mimi ni shabiki wa diamond ndo mana nataka arekebishe pungufu ili, mana washabiki wake tunasemwa sana juu ya hili. najua akifanya mazoezi ataweza tu