Kwanini sehemu ya mbele ya uume inaitwa kichwa?

Kwanini sehemu ya mbele ya uume inaitwa kichwa?

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Eti wakuu ni kwanini sehemu ya mbele ya uume inaitwa Kichwa?

Yaani hata wazungu wanaiita kichwa.

Ni sifa zipi zinafanya iitwe kichwa maana sehemu ya nyuma haiitwi kiwiliwili.

Sijawahi kusikia kiwiliwili cha uume ila nasikia kichwa cha uume.

Nisaidieni mawazo.
 
Sio kichwa kama kichwa ni Abdalah kichwa wazi

Screenshot_2022-02-19-12-37-54-95.jpg
 
Nchi imejaa Vijana wa hovyo! Kichwa kama hiki kwa picha
 

Attachments

  • 20220416_210642.jpg
    20220416_210642.jpg
    35.4 KB · Views: 17
Hata uke unaitwa tobo hata kwà kingereza hole
 
Kwaio kwa mtazamo wa mtoa mada, kama abdala kichwa wazi anaitwa kichwa, kwaio na mapoumbou ndo mat.ako au?🤔
 
"Hivi unajua kichwa cha chini hakinaga utosi"

Abdallah kichwa wazi

"Said kichwa ntamuweka wapi na mkongo nishampakaza" ROBERT BAKHRESA
 
Mkuu ndio kwanza Jumanne. Tena Asubuhi.
 
Ni kichwa cha familia, kwakuwa ni chimbuko la familia zote unazoziona ikiwemo na wewe.
 
Back
Top Bottom