Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Shingo iko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shingo iko wapi?
Enzi zenu ndio zimefanya tukaja kupata enzi za kijinga kabisa. Nawalaumu sana nyie wa enzi hizo na sababu ziko nyingi tu:-Tulikuwa tuna mafundisho mema toka kwa wakubwa zetu
Tulifundishwa ujasiri
Tulifundishwa skills za maisha
Tulifundishwa mahusiano
Tulisimuliwa hadithi za ushujaa nk
Siku hizi hayo mambo hayapo tena
Mzee unanza kupotoka , kwa mujibu wa maelezo yako kichwa ni kiumbe? Hizi kambaNeno kichwa Lina maana zifuatazo;
1. Kiongozi
2. Sehemu ya mbele ya kitu, kiungo, au kiumbe (hata mdomo unaweza kuwa sehemu ya mbele ya kitu au Jambo mfano mdomo WA MTO"sehemu ya MTO inayomwaga maji yake baharini au ziwani
3. Sehemu ya juu kabisa ya kitu au kiumbe
Uume sehemu yake ya mbele inaitwa kichwa kwa kuzingatia mahali ilipo.
Hata mbegu ya kiume, sehemu ya mbele huitwa kichwa, na ya mwisho huitwa Mkia.
Baba huitwa kichwa Kwa sababu yeye ni Kiongozi,
Mwanafunzi anayeongoza darasa anaitwa Kichwa kumaanisha yeye ndiye kinara, kiongozi aliyembele ya wanafunzi wote.
Mzee unanza kupotoka , kwa mujibu wa maelezo yako kichwa ni kiumbe? Hizi kamba
Haya yote uliyoyaandika hapa hayakutokea zamani bali ni ya juzi tu hapo kuanzia utawala wa Mwinyi na wote waliofuatiaEnzi zenu ndio zimefanya tukaja kupata enzi za kijinga kabisa. Nawalaumu sana nyie wa enzi hizo na sababu ziko nyingi tu:-
1. Mkatutungia katiba mbovu inayobeba wachache
2. Mkaua viwanda vyote, mlitegemea ajira za vijana zingetoka wapi. Ukiona ujinga mwingi kwa viwaja ujue hawana kazi au kazi zao ni za bla bla.
3.Mkajifunza nizamu ya woga mkaambukiza mpaka kizazi cha Sasa, hamna ujasiri hata wakudai kilicho haki Yao.
4. Nk nk
Haya yote uliyoyaandika hapa hayakutokea zamani bali ni ya juzi tu hapo kuanzia utawala wa Mwinyi na wote waliofuatia..Enzi zenu ndio zimefanya tukaja kupata enzi za kijinga kabisa. Nawalaumu sana nyie wa enzi hizo na sababu ziko nyingi tu:-
1. Mkatutungia katiba mbovu inayobeba wachache
2. Mkaua viwanda vyote, mlitegemea ajira za vijana zingetoka wapi. Ukiona ujinga mwingi kwa viwaja ujue hawana kazi au kazi zao ni za bla bla.
3.Mkajifunza nizamu ya woga mkaambukiza mpaka kizazi cha Sasa, hamna ujasiri hata wakudai kilicho haki Yao.
4. Nk nk
Nani huyo mzee?Huyu alikuwa kifo cha kikatili sana
Sad!.Tulikuwa tuna mafundisho mema toka kwa wakubwa zetu
Tulifundishwa ujasiri
Tulifundishwa skills za maisha
Tulifundishwa mahusiano
Tulisimuliwa hadithi za ushujaa nk
Siku hizi hayo mambo hayapo tena
Weka pichaEti wakuu ni kwanini sehemu ya mbele ya uume inaitwa Kichwa?
Yaani hata wazungu wanaiita kichwa.
Ni sifa zipi zinafanya iitwe kichwa maana sehemu ya nyuma haiitwi kiwiliwili.
Sijawahi kusikia kiwiliwili cha uume ila nasikia kichwa cha uume.
Nisaidieni mawazo.
[emoji16][emoji16]Mbunge : Kuongeza swali la nyongeza tu pia kwanini kanaitwa kaharage wakati hamna wali?
Spika: Majibu waziri wa afya
Ni kweli yametokea juzijuzi lakini lawama zangu nazitupa kwa wahenga kwamba ndio msingi wa haya yote kutokea sasahivi. Vijana wangekuoa bize na uzalishaji viwandani na mashambani wasingekuwa na huu upuuzi wanaouandika sikuhizi, na chanzo cha ukosefu wa ajira ni janga lililoandaliwa miongo kadhaa na hao wazamani. Wakaua viwanda, wakatuachia katiba ya ajabu, wakawa na nizamu ya woga mpk kizazi hiki kikaiga hvyohvyo. Wazungu wapo hapo walipo coz mababu na mababu walitengeneza njia kwa kuweza kuvuka bara na bara kwenda kuiba Mali sio Hawa wakwetu walipewa nchi unalipiwa Kila kitu na Kodi ya wananchi wetu lakini bado anaungana na mkoloni kumuibia tena nchi yake. Acha tu mada kama hizi ziwepo tupunguze stress zetuHaya yote uliyoyaandika hapa hayakutokea zamani bali ni ya juzi tu hapo kuanzia utawala wa Mwinyi na wote waliofuatia..
Corona tena !? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji119]
Eti wakuu ni kwanini sehemu ya mbele ya uume inaitwa Kichwa?
Yaani hata wazungu wanaiita kichwa.
Ni sifa zipi zinafanya iitwe kichwa maana sehemu ya nyuma haiitwi kiwiliwili.
Sijawahi kusikia kiwiliwili cha uume ila nasikia kichwa cha uume.
Nisaidieni mawazo.
Eti wakuu ni kwanini sehemu ya mbele ya uume inaitwa Kichwa?
Yaani hata wazungu wanaiita kichwa.
Ni sifa zipi zinafanya iitwe kichwa maana sehemu ya nyuma haiitwi kiwiliwili.
Sijawahi kusikia kiwiliwili cha uume ila nasikia kichwa cha uume.
Nisaidieni mawazo.