Kwanini Selena Gomez ana wafuasi wengi Instagram?

Kwanini Selena Gomez ana wafuasi wengi Instagram?

Atakua ananunua followers kama ndomo anavyonunua views YouTube
 
Atakuwa alikunywa kikombe cha babu. Subiri Mshana Jr aje atueleze ni miti shamba gani inasaidia kupata followers wengi Instagram.
 
Selena kazi zake zinambeba na urembo wake pia....
Jaribu kusikiliza albums zake.. anaimba sana huyu mtoto, kingine mahusiano yake na JB pia urafiki wake wa karibu na Taylor Swift pia umetosha kumuongezea followers kila kukicha
 
Hata wewe ukiwa unapost ujinga ujinga mwingi lazima utapata followers wakumwaga tu ...Kim kadarshian alianza kuupata umaarufu wake baada ya kuvujisha sex tape "" aliyokuwa akingonoka "" na Ray J ""....wakati huo Raj J alikuwa ni star mara 10 ya Kim " lakini sasa hivi sidhani kama RAY J huwa anaipata hata salamu ya Kim ""...... systeam ya maisha ya mwanadamu jinsi ilivyowekwa huwa tunapenda kusikia na kufuatilia habari mbaya tu "" ..... jana wachina wametoka kukamilisha vyema kabisa " kufanya project yao ya kilimo cha mpunga jangwani "" lakini hii habari wala haijapewa " nafasi kubwa kwenye media "......so subiri rihana akae uchi ampige busu " mtoto wa trump"au magaidi walipue bomu ufaransa ""

ndio utaujua vyema huu ulimwengu ""....
I salute you
 
juzi tu nilikua nabishana na ndugu zangu wanampenda mno cr7 na wanadai ndio ana followers wengi duniani nikawafungulia simu na kuwaonyesha followers alionao selena walibaki kushika kichwa wenyewe.....
na ndie mtu wa kwanza duniani kufikisha followers 100 halafu anaposti ujinga tu
Gomez ana 138.1m

Justine Beiber 100.5m
 
juzi tu nilikua nabishana na ndugu zangu wanampenda mno cr7 na wanadai ndio ana followers wengi duniani nikawafungulia simu na kuwaonyesha followers alionao selena walibaki kushika kichwa wenyewe.....
na ndie mtu wa kwanza duniani kufikisha followers 100 halafu anaposti ujinga tu
Gomez ana 138.1m

Justine Beiber 100.5m
 
Wanaomfuatilia Selena, Taylor, Ariana au Katty ni watu wa dunia ya kwanza sana kwasababu aina ya muziki wanaoufanya waafrika wengi hawaujui au kuupenda. Na ndo maana huwezi sikia wanafanya show Afrika.

Kama humfahamu haimaanishi hafahamiki.
 
Mwangalie taylor swift anawangap huko Twitter na insta
 
Wanaomfuatilia Selena, Taylor, Ariana au Katty ni watu wa dunia ya kwanza sana kwasababu aina ya muziki wanaoufanya waafrika wengi hawaujui au kuupenda. Na ndo maana huwezi sikia wanafanya show Afrika.

Kama humfahamu haimaanishi hafahamiki.
Ambaye hamfahamu selena gomez na ni kijana wa kisasa basi huyo ni mshamba tu
 
Wanaomfuatilia Selena, Taylor, Ariana au Katty ni watu wa dunia ya kwanza sana kwasababu aina ya muziki wanaoufanya waafrika wengi hawaujui au kuupenda. Na ndo maana huwezi sikia wanafanya show Afrika.

Kama humfahamu haimaanishi hafahamiki.
Ni kweli waafrika hatuko interested kabisa na aina ya muziki wanaoufanya ila kwa wazungu ndio wanawaelewa kinoma hao kina Katty Perry, Taylor Swift ndio maana hata ukiangalia views za video zao si ajabu kuona 1B,2B,3B.... Kwa watu weusi hapa wanaofanya rap/rnb sio rahisi kufikisha hata views 1B, ni wachache kama kina Drake walioweza kufanya hivyo, Wiz Khalifa na 'See u again' sote tunajua kwanini ilifikisha views nyingi vile, ila nyimbo zake binafsi hakuna hata uliowahi kufikia 500Ml.
 
Back
Top Bottom