Kimolah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 562
- 762
..hisani ya mabeberu...Katika kitu serikali ilicheza ni katika yale magari ya MSD yakusambaza madawa mkoani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
..hisani ya mabeberu...Katika kitu serikali ilicheza ni katika yale magari ya MSD yakusambaza madawa mkoani
OkayBei ni rahisi,
Sasa hivi imejulikana kuwa ni FakeCummins ni engine ya kimarekani ni engine inayotumika sana kwenye shughuli mbali mbali huko Marekani na kwingineko .Lakini Engine katika mabasi ya mwendokasi ni CUMMINS made in China,hatujui kama genuine au fake engine.
Engine nazo zina maintenance procedures, Planned Maintenance, Aina ya mafuta na oil kama ni compatible, usafi, ujuzi n.k
Ukisoma hiki ulichoandika Sasa hivi unajisikiaje? Mabasi kibao yamesimamaBila shaka mleta mada hana anachokijua hizo engine za cummins zipo kwenye Magenerator , hadi meli pia service kit zake ni ghali si mchezo zinaamzia $12,000-15,000 kuna minor service ki na major service kit wewe google tu hapo ujionee