Kwanini Serikali iliamua kununua mabasi ya mwendokasi yenye injini za CUMMINS wakati si imara wala madhubuti?

Sasa hivi imejulikana kuwa ni Fake
 
Bila shaka mleta mada hana anachokijua hizo engine za cummins zipo kwenye Magenerator , hadi meli pia service kit zake ni ghali si mchezo zinaamzia $12,000-15,000 kuna minor service ki na major service kit wewe google tu hapo ujionee
Ukisoma hiki ulichoandika Sasa hivi unajisikiaje? Mabasi kibao yamesimama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…