Kwanini Serikali ilituficha kuugua kwa Dkt. Magufuli?

Magufuli ameweka standards za uongozi Tanzania wahuni watake wasitake...

Mapinduzi yajayo ya Serikali yatakuwa kwa Jina la Magufuli. Na Nina hofu Magufuli amekufa na CCM mioyoni mwao..
Mimi sio mshabiki wa vyama lakin nikuambie tu. Ccm wataendelea kubakia maana wana mizizi deep down kwenye taasisi za serikali. Hiyo 2025 unayoisemea utakuwa suprised na akili za watanzania.

Watakirudiaha chama kile kile na kuendelea kulaumu kama kawaida
 
Naamini afya ni jambo la mtu binafsi, pili mwenyewe alikuwa na nafasi ya kuzungumzia afya yake, siku anamwapisha bashiru kuwa k/kiongozi akuongea chochote wadadisi wanadai hakuwa vizuri kiafya!
 
Maadui wengi walikuepo wanamtafuta especially mafisadi
 
mbona umepaniki mkuu, kwani kuna mtu amesema anamtafuta mtu aliyemuua Rais? si tunaongea tu.

kuna sehemu nimeandika Rais aliuawa hadi aliyemuua atafutwe !!

Hii ndio sababu naonelea Jf ibakie na tag ya "Where we dare to talk openly" maana hii inaruhusu watu kuongea ongea kama unavyotaka , ila ya "home of great thinkers" ishapwaya kama sensitive issue kama hii inajadiliwa bila hard facts kama udaku wa WCB
 
Nasikia yule baba alikufa akiwa kajificha chumbani kwake kwa sababu ya maradhi yake sugu ya akili
 
Bangi ya Malawi haikufai, acha.
 
Wakati wanatuomba kura hawakujificha ila wakishapata inakuwa halali kwao kutuficha hali zao tena kwa kutudanganya kama watoto. Tunawaaminije sasa?
 
Tuache unafiki.
Hata vitabu vya dini vya kale vinasema auaye kwa upanga atakufa kwa upanga huo huo.

Tusijidai tumesahau ramsha ramsha za kunywa mpaka asubuhi sehemu za Kimara na kwingineko siku ya tangazo la kifo.
Umekumbuka kunywa Kidonge chako cha Ugonjwa wa Akili ( Uwendawazimu ) ulionao leo hii?
 
Tatizo sio CCM kushinda, la hasha, tatizo kura chache za upinzani wapewe wasinyang'anywe, kwani ni halali yao na zinasaidia kuweza kupata ruzuku za kuendesha chama!
 
Nafikiri pia misimamo yake kuhusu korona pia ilichangia hii korona ni mradi wa watu Fulani.wanaoongoza dunia kupita mlango wa nyuma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…