Tenaya mtoriAngalieni hii ng'ombe
KabisaYanatumika pia Kutekea Wakosoaji
Mbona iko wazi sana!Kabisa
Uko sahihiIngekuwa hivi, yangekuwa yakiuzwa kwenye ile minada, mnunuzi angekuwa anapewa hiyo namba ya T…DVS.
Lakini sasa hivi ukilinunua gari la serikali, utalazimikq kulisajili kwa namba ya sasa T…EKB
Sasa mkuu uzuie serikali unajipenda au, halafu ujue hao watumishi wanaenda kutuhudimia sis wananchiKama ni mzoefu barabarani, hebu jiulize ni kwanini hao madereva wa magari ya serikali huwa hawaheshimu sheria. unakuta kuna foleni , taa zimewaka yeye anakuja anakatiza. Cha kushangaza traffic wala hawachukui hatua. Yaani ni kwamba jamaa wana sheria zao tofauti na raia.
Mimi ningekuwa Rais, yaani kuongozi, waziri ambaye gari yake inakiuka sheria za bara barani na yeye yumo ndani, basi hana kazi.
Hii iko mpaka kwa magari ya majaji wetu ambao ndio husimamia sheria, acha wabunge na mawaziri.
Yaani ni nuchafu mtupu.
Akikugonga au kufanya kosa lolote ana badirisha namba hujui ni nani.
Mambo yanawachanganya sana watuSasa mkuu uzuie serikali unajipenda au, halafu ujue hao watumishi wanaenda kutuhudimia sis wananchi
Ni kweli kabisaIngekuwa hivi, yangekuwa yakiuzwa kwenye ile minada, mnunuzi angekuwa anapewa hiyo namba ya T…DVS.
Lakini sasa hivi ukilinunua gari la serikali, utalazimikq kulisajili kwa namba ya sasa T…EKB
Namba fake kuzitumia vibayaHoja ni kuwa na vibinti vya chuo au kuwa na namba mbili tofauti.
Tujivue gambaSawa ndugu mwananchi, sasa unataka sisi kama CCM tufanye nini?
Na makonda kasema mama karogwaHaya yote ni matokeo ya kucheka na sheria za inchi. Tungekuwa wakali na sheria na kukaza nadhani tusingefika huku.
Yaani utazani nchi haina sheria inaongozwa na mitizamoNamba fake kuzitumia vibaya
Maagizo kutoka juuTujivue gamba
Chuma ya mwaka huu imetoka japan january ina plate ya T ... BXX nayo imesajiliwa ilivoingia?Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Akikujibu hilo swali niamshe maana kuna watu wajuaji sana hata wasiyoyajuaChuma ya mwaka huu imetoka japan january ina plate ya T ... BXX nayo imesajiliwa ilivoingia?
je ni sahihi kuendelea kutumika ile plate namba ya zaman ? swala sio usajili , swala ni utumikajDah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
unapotetea ni vzr ukatumia akili , Kiongoz ni kipenz cha watu inakuwaj anajihami dhidi ya watu wake ?Usalama wa viongozi na mali za Serikali unalindwa na watu maalum.
Siyo lazima kujua kiongozi kapanda gari ipi, na siyo kazi ya kila mtu bali watu maalum.
unatetea matumiz ya gari za serikali kutumika kwa maswala yao binafsi ,plate namba inapaswa kuwa moja na gari inapaswa kutojificha maana tunaamin popote ilipo kuna dhima ya kiutumishi na inapaswa kutambulika ili isiingiliwe kwenye majukumu yake , la sivyo watauliwa sana kama TegetaUngekuwa Mshauri wa Masuala ya Usalama kwa Viongozi wa Taifa unadhani hili ni sawa ama si sawa? Kwa upande wa mtazamo fulani unaona ni kitu kibaya lakini kwa upande wa mtazamo wa Nje hii ni SALAMA zaidi. Uwe na uhakika hata hapo kitaani kwako Baadhi ya gari zinazokuwa kwenye msafara wa viongozi wa kitaifa pengine zinapitaga na kupaki sana. Ila tuu huwezi zingatia kwa wakati huo kutokana na kubadilishiwa Number Plate.