Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Hawa viongozi wetu wakiwa madarakani kuna kujisahau flani hivi.

Unakalia kiti mwishowe unakiacha anakuja mwingine.

When the reality hits you hard unaanza kufikiri kuwa you were supposed to be exempted from torture, kumbe maskini ni binadamu tu kama wengine.
 
Ingekuwa hivi, yangekuwa yakiuzwa kwenye ile minada, mnunuzi angekuwa anapewa hiyo namba ya T…DVS.
Lakini sasa hivi ukilinunua gari la serikali, utalazimikq kulisajili kwa namba ya sasa T…EKB
 
Ingekuwa hivi, yangekuwa yakiuzwa kwenye ile minada, mnunuzi angekuwa anapewa hiyo namba ya T…DVS.
Lakini sasa hivi ukilinunua gari la serikali, utalazimikq kulisajili kwa namba ya sasa T…EKB
Uko sahihi
 
Kama ni mzoefu barabarani, hebu jiulize ni kwanini hao madereva wa magari ya serikali huwa hawaheshimu sheria. unakuta kuna foleni , taa zimewaka yeye anakuja anakatiza. Cha kushangaza traffic wala hawachukui hatua. Yaani ni kwamba jamaa wana sheria zao tofauti na raia.
Mimi ningekuwa Rais, yaani kuongozi, waziri ambaye gari yake inakiuka sheria za bara barani na yeye yumo ndani, basi hana kazi.
Hii iko mpaka kwa magari ya majaji wetu ambao ndio husimamia sheria, acha wabunge na mawaziri.
Yaani ni nuchafu mtupu.
Akikugonga au kufanya kosa lolote ana badirisha namba hujui ni nani.
Sasa mkuu uzuie serikali unajipenda au, halafu ujue hao watumishi wanaenda kutuhudimia sis wananchi
 
Ingekuwa hivi, yangekuwa yakiuzwa kwenye ile minada, mnunuzi angekuwa anapewa hiyo namba ya T…DVS.
Lakini sasa hivi ukilinunua gari la serikali, utalazimikq kulisajili kwa namba ya sasa T…EKB
Ni kweli kabisa
 
Haya yote ni matokeo ya kucheka na sheria za inchi. Tungekuwa wakali na sheria na kukaza nadhani tusingefika huku.
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
Chuma ya mwaka huu imetoka japan january ina plate ya T ... BXX nayo imesajiliwa ilivoingia?
 
Dah .
Ngojeni niwaeleshe, Gari yoyote inayoingia nchini lazima isajiliwe kwa plate number za kawaida.. zile tunazozijua za T454 EGF(mfano).. alafu kisha ndiyo kama za serikali zinapewa Hizo namba zao za STM,. Kwahyo zile za serikali ubandikwa wakati tayari hizi gari zina plate no. Za kawaida za mfumo wa nchi..
je ni sahihi kuendelea kutumika ile plate namba ya zaman ? swala sio usajili , swala ni utumikaj
 
Ungekuwa Mshauri wa Masuala ya Usalama kwa Viongozi wa Taifa unadhani hili ni sawa ama si sawa? Kwa upande wa mtazamo fulani unaona ni kitu kibaya lakini kwa upande wa mtazamo wa Nje hii ni SALAMA zaidi. Uwe na uhakika hata hapo kitaani kwako Baadhi ya gari zinazokuwa kwenye msafara wa viongozi wa kitaifa pengine zinapitaga na kupaki sana. Ila tuu huwezi zingatia kwa wakati huo kutokana na kubadilishiwa Number Plate.
unatetea matumiz ya gari za serikali kutumika kwa maswala yao binafsi ,plate namba inapaswa kuwa moja na gari inapaswa kutojificha maana tunaamin popote ilipo kuna dhima ya kiutumishi na inapaswa kutambulika ili isiingiliwe kwenye majukumu yake , la sivyo watauliwa sana kama Tegeta
 
Back
Top Bottom