Kwanini serikali imebariki magari ya viongozi wa serikali kuwa namba feki? Mwanzo nilizani ni uhuni wa madereva kumbe wanapewa wabandike feki

Hii kitu imekuwa very common halafu wanasumbua sana barabarani, muda mwingine unakuta hayo magari yako na vibinti vidogo vya chuo kwenye mahotel na lodgings
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
siyo lazima gari la serikali liwe na namba za kawaida kwanza ndipo lipewe namba za STM. Yanaweza kusajiliwa moja kwa moja na namba za serikali.
 
Unakuta gari jipya kabisa halafu usajili T.... AAM

😅
 
Naungana na wewe kwa asilimia mia. Unajua hawa jamaa wanatoa majibu yao uchwara humu wanafikiri huko serikalini wanafanya kazi wenyewe na hakuna watu wengine wenye uelewa zaidi yao.
Kweli kabisa
 
Umeandika uongo kwa confidence kubwa mno na umechanganya mambo

Gari za serikali haziji kwa namba za kiraia. Zina usajili wake, huo usajili wake ndio utabadilika kulingana na matumizi ya cheo. Mfano mawaziri wao watakua na utambulisho wao, wakuu wa mikoa nao watakua na utambulisho wao Kama unavyoinaga RC DSM, RC DOM n.k. lakini ule usajili wa kiserikali(STN 5736, STM 3855 n.k) unabaki kama ulivyo

Huyo hoja yake ilikua ni kutoka namba za serikali na kuwekwa za kiraia na sio kutoka namba za cheo husika(RC DSM) na kuwekwa namba za kiserikali
 
Uongo huu. Haliwezi kuwa na plate namba za kawaida, litakua na plate namba za serikali mfabo STM 3422 n.k kutoka iliyokua ya cheo chake W HTHM
 
Imefikia sasa hata plate namba hawaweki kabisa nchi ya kima FIA sana
 
Tafuta kazi ya kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…