Kwanini serikali imenyamaza kimya?Huku Simba wana changisha??

Kulipia kadi ni zoezi la msimu, swala la mchango ni frequently unaweza kuchangia hata mara kumi

Sawa ngoja tusubiri kuona. Project ingekua phased kidogo ingekua na mashiko nafikiri ndii ingekua njia rahisi.

Au simba wange register kampuni nyingine inayokua inamiliki uwanja wa list share, mchango unatoa ukunufaishe nawe pia mchangiaji.
 
Unaulizia hisa 49 wakati kuna 51 huulizi?
Hata mimi nimemshangaa hapo, anataka mwenye 49 ajenge uwanja peke yake wakati kuna mwenye hisa kubwa 51 hataki naye achangie
Huyu ana chuki kubwa na Mo na Simba
 
Hiki kitu niliwahi kuhoji sehemu

Kama gharama ya kujenga uwanja ni B 30, japo simba haina hata michoro ya uwanja

Iweje mwekezaji atoe B 2 na wanachama na wapenzi watoe B 28 na bado mwekezaji akabaki kumiliki 49% of shares?
 
Mzee Kilomoni mwenye hati hajakubaliana na huo utaratibu
 
Asante sana mkuu,umemaliza
 
Sasa hujui makanjibhai tabia zao?
Makolo ya humu hayajachanga hata jero lakini ni viherehere kushupaza ahingo

Tajiri yao Hana hela ya mishahara sasa ameona atumie mbinu hiyo kijanja na kwanza bilioni 30 watainya wapi mashabiki wengi wa simba ni maskini.
 
Acha Makolo wagongwe,hakuna namna
 
Hata mimi nimemshangaa hapo, anataka mwenye 49 ajenge uwanja peke yake wakati kuna mwenye hisa kubwa 51 hataki naye achangie
Huyu ana chuki kubwa na Mo na Simba
kwa hiyo unapendekeza ajenge sehemu ndogo halafu sehemu nyingine awaachie wanachama wamalizie? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Simba ilikua inaicheka Yanga sasa na wao wanapitisha mabakuli
 
kwani kachangia kama mwekezaji au kama mwanachama?
 
Kuna kiongozi mmoja wa Simba aliwahi sema mashabiki wa simba ni mambumbu sasa naelekea kuamini kauli yake
Na aliyekuwa kocha wa Yanga aliwahi kusema washabiki wa Yanga ni kima na wasio na elimu wanachoweza ni kuzomea zomea tu,nimeamini kauli hii

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…