Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Mbona takwimu hawatoi na hujashangaa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo

*D E A T H A N N O U N C E M E N T*

*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha

*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz

*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha

*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*

*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*

*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*

Hiyo familia ya benson ilikuwa na cheo gani serikarini mpaka watangaze kifo chake, mbona watu wanakufa miaka yote huku mitaani hawatangazwi, au kwa kuwa huyo anapesa?
 
Mange na kigogo wametoa idadi ya wagonjwa wangapi na marehemu wangapi wa corona?.
Au nao wanapiga ramli kwanza..
Serikali imewaachia wao wawalishe matango pori kama mnawasikiliza wasikilizeni

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo mange atangaze ya huo USA ndiko aliko, ya huku awachie wa huku. Atwambie leo marekani wamekufa wa ngapi na watu weusi hawabaguliwi tena?
 
Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Wanakosea nao jf tunasema magonjwa ya kupumua
 
Na taarifa Ni za kweli nakwambia wewe mleta mada unayetaka kutetea mabwana zako.Ni kweli kwa sababu ndugu na marafiki wameumizwa sana sana na uzembe,unyama na kila aina ya kutojali iliyofanywa na serikali ya ccm tangu awali kabisa. Hali Ni mbaya mbaya mbayaaa,watu wanakufa hovyo.Kama huamini zagaa nawe utatolewa taarifa.

Et sintowaangusha!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wizara iendelee kutangaza wanaopata maambukizi, waliokufa, waliopona na waliofanyiwa test.

Katikato ya ukimya wa serikali zinaibuka sauti za kigogo, mange na g haule
 
Hiyo familia ya benson ilikuwa na cheo gani serikarini mpaka watangaze kifo chake, mbona watu wanakufa miaka yote huku mitaani hawatangazwi, au kwa kuwa huyo anapesa?

Cheo sio heshima pekee kwenye jamii. Jamii kama ya Arusha ya biashara inathamini zaidi wafanyabiashara wanaoleta kazi na kujenga miji kwa uwekezaji kuliko wadau wa serikali. Alikuwa mfanyabiashara toka miaka ya 80’s . Sababu ya kutangaza ni ili watu wasije kwenye mazishi maana amekufa kwa Corona na kuna masharti ya watu wasiozidi 10 hawakutaka watu waende kwenye mazishi halafu polisi wawazuie
 
Katibu mkuu aliondolewa kwa kuwa alikuwa mkweli!

Mwanzo sikutaka kuamini kama wewe, ukweli hali ni mbaya,viongozi wamekosa utu,wameweka rehani maisha ya Wa-Tz. Hawasemi ukweli wanaangalia uchumi na kodi na bahati mbaya hiyo Kodi haimpi uhakika wa kupata huduma mhanga wa Covid-19.

Jilinde ndugu yangu,achana na wasaliti wanaolipwa fedha kina mjingamimi, Bia yetu nk.

Mama Ummy Mwalimu jiuzulu, funga yako haitaswihi kwa kusoma taarifa za uongo
 
Huyo mange atangaze ya huo USA ndiko aliko, ya huku awachie wa huku. Atwambie leo marekani wamekufa wa ngapi na watu weusi hawabaguliwi tena?

Wenye Corona wote wamefika milioni moja na walikufa mpaka leo US ni 56,000.
 
Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Huo sio uvumi, sema umekuja mapema sana, yaani"breaking news" na njia yake ndio hiyo!
 
Cheo sio heshima pekee kwenye jamii. Jamii kama ya Arusha ya biashara inathamini zaidi wafanyabiashara wanaoleta kazi na kujenga miji kwa uwekezaji kuliko wadau wa serikali. Alikuwa mfanyabiashara toka miaka ya 80’s . Sababu ya kutangaza ni ili watu wasije kwenye mazishi maana amekufa kwa Corona na kuna masharti ya watu wasiozidi 10 hawakutaka watu waende kwenye mazishi halafu polisi wawazuie

Kuna jaji mstaafu nae kafa nasikia alikuwa anaumwa kwa muda mrefu, je ikiwa sio korona unatahani atazikwa na watu wengi?
 
Katibu mkuu aliondolewa kwa kuwa alikuwa mkweli!

Mwanzo sikutaka kuamini kama wewe, ukweli hali ni mbaya,viongozi wamekosa utu,wameweka rehani maisha ya Wa-Tz. Hawasemi ukweli wanaangalia uchumi na kodi na bahati mbaya hiyo Kodi haimpi uhakika wa kupata huduma mhanga wa Covid-19.

Jilinde ndugu yangu,achana na wasaliti wanaolipwa fedha kina mjingamimi, Bia yetu nk.

Mama Ummy Mwalimu jiuzulu, funga yako haitaswihi kwa kusoma taarifa za uongo
Dawa ya uongo ni facts

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mange na kigogo wametoa idadi ya wagonjwa wangapi na marehemu wangapi wa corona?.
Au nao wanapiga ramli kwanza..
Serikali imewaachia wao wawalishe matango pori kama mnawasikiliza wasikilizeni

Sent using Jamii Forums mobile app

Angalieni wazee wenu acheni siasa Magu mwenyewe yuko likizo alienda mwezi wa tatu wakati Mwezi wa kumi na mbili tu alikuwa likizo wengine wajinga jinga badala ya kutoa suluhisho wanaweza siasa. Hakuna siasa kwenye ugojwa wote tupo sawa Corona haina chama
 
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo

*D E A T H A N N O U N C E M E N T*

*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha

*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz

*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha

*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*

*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*

*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*
 
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo

*D E A T H A N N O U N C E M E N T*

*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha

*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz

*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha

*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*

*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*

*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*

Mkuu, hawa ndo wamiliki wa yale maduka ya Benson?
 
Back
Top Bottom