Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

Kwanini Serikali inaacha uvumi unaondelea kwenye mitandao uendelee?

Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo

*D E A T H A N N O U N C E M E N T*

*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha

*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz

*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha

*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*

*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*

*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*
Tatizo, ni mkwara wa Yohana siku ile alipo ongea na kutoa PS imewatisha wahusika wote. Imagine mpaka Paulo kauchuna.

Kitendo cha kushindwa kutoa data kwa week ya pili sasa sijui kina lengo gani hasa.
 
Hiyo mitandao Insta na Twitter, siyo mali ya serikali...
Kwahiyo wewe hapo ni za kwako uchanganye na za kwao, huku ukijifukiza, ukinawa kwa sabuni na maji tiririka na kuvaa barakoa..

Everyday is Saturday........................ 😎
 
Kwanza mtasema uvumi baadae itathibitishwa itajaribu kufichwa mwisho wataachia tu tutaongea kitu kimoja halafu tushirikiane kuwaambia wajiuzulu
Mnaombea mabaya yawafikishe Ikulu, mna laana. Huu ni wakati wa kuhamasishana kuzingatia ushauri kuhusu kinga na kukemea wasio fanya hivyo.

Haya tukubali taarifa hizo ni za kweli, watu wakifa ninyi mnaendelea kushangilia na kulaumu, mtamtawala nani. "Hopeless" kwa fikra za kitoto.
 
Ile Kasi ya uvaaji barakoa imeishia kabisa sikuhizi maeneo ya Kariakoo watu wanajiachia Tu kama kawaida...
Wizara ijitahidi kusisitiza uvaaji barakoa
 
Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Ndugu yangu hata kama kusoma hujui picha nayo huelewi? Unataka serikali ifanye nini wakati asilimia 90 ya yanayosemwa ni ukweli? Hivi wewe huaminiki kuwa watu wanafariki kwa hawa virus kila uchao? Wiki iliyopita niliambiwa na mtu anayeaminika kuwa jijini Dar kila siku usiku wanazikwa watu si pungufu ya 10. Wiki hii zimeanza kujitokeza clips nyingi za mazishi ya usiku. Na kadiri siku zinavyokwenda ndiyo hali inazidi kuwa mbaya. Huu ugonjwa una tabia moja. Unapoingia kwenye nchi, huingia kwa ukimya sana, na hatua ya kwanza ni kusambaa. Ukishasambaa ndiyo unaanza kusababisha vifo.
 
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo

*D E A T H A N N O U N C E M E N T*

*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha

*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz

*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha

*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*

*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*

*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*
Daa yule Mzee amefariki?? Poleni wafiwa hasa Naushad na Mdogo wake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Ummy si alisema vile kwamba "sasa tumeamua kusema ukweli".
 
Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Sasa kama huamini video unataka upewe kitu gani ndio uamini ?

Serikali imekataa kutoa taarifa, ngoja hao wawili wazibe hiyo VOID .
 
Mimi nafikiri watawala Bado wanazani tupo Zama za ujima/ enzi za Nyerere kwamba watu hawatafakari. Watambue technology imebadili Mambo leo mtu anaanguka Arusha ndani ya dk 10 Nchi nzima inajua!!!, Watawala waache Mambo haya kuiga ili kuponya watu sio dhambi, hatuwezi kuiga tu kutumia vyombo vya dola kuwadhibiti wapinzani kisiasa tutashindwa kuiga namna yakuwaokoa Raia.
 
Kama unafikiri kuwa una sirikali wewe ni mjinga! Umeshanyang'anywa haki yako tayari ya kuishi kupitia herd immunity ila hata hujui, upo upo tu
 
Kuna ushuhuda wa njiro nimeusikia now bbc dira ya dunia ulichanganya na hao kuna mahali si sawa
Mkuu wa wilaya nako uvumi unaendelea watu wanamashaka walikuwa nao hivi karibuni

Serikali hii inakwenda kujivuruga
 
Kuna jaji mstaafu nae kafa nasikia alikuwa anaumwa kwa muda mrefu, je ikiwa sio korona unatahani atazikwa na watu wengi?

Inategemea kama alikuwa na Corona au hakuwa nayo. Mama wa best friend wangu kazikwa Dodoma kijijini na watu wengi tu na hawakupewa masharti
 
Sasa ndugu yangu, sisi wanainchi wa hali ya chini tunafikia hatua ya kuwaamini hao watoa taarifa whelther ni za (KWELI/UONGO), kwa sababu viongozi wetu hawatupi updates zozote, update ya mwisho ni alhamisi ya wiki iliyopita baada ya hapo kumekuwa kimya. Na ndiyo maana watu hao tunalazimika kuwaamini tena tunawaamini kwa maana ya kwamba labda viongozi wetu hii hali imesha washinda. Maajabu yake wiki hii tumepoteza viongozi wakubwa wenye dhamana kubwa katika uongozi lakini bado viongozi wetu hatuwaoni eitjer wakitupa mwongozo, wakitufariji ama kutolea matamko ya hayaambo. Ni kweli kwa namna tuyaonavyo kwenye media hasa twitter. Hali inatisha sana sana sana, nawaza tu kwanini tumefika hapa. Je ni kwamba uongozi wote umeshindwa kabisa kabisa kukaa na wanainchi kutufariji ama vipi.....???

Nguvu ya media imepatikana baada ya viongozi wetu kuwa kimya, keep in mind kuwa tutawaamini zaidi wa media kwa sababu hawaji na maneno wanakuja ushahidi wa mambo yalivyo.

MUNGU AENDELEE KUTUSAIDIA KATIKA HILI. INATISHAA

Sent using Jamii Forums mobile app
Failure in leadership, per excellence! Haijapata kutokea!

Nadhani kuna hujuma pia, hii sio bure! Inawezekana watu wamechoka, wameamua kuliacha liende kivyovyote.
 
Serikali inazika waliokufa kwa Corona usiku wa manane. Hii ni hatari.
 
Back
Top Bottom