mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mbona takwimu hawatoi na hujashangaa?Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo
*D E A T H A N N O U N C E M E N T*
*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha
*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz
*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha
*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*
*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*
*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*
Mange na kigogo wametoa idadi ya wagonjwa wangapi na marehemu wangapi wa corona?.
Au nao wanapiga ramli kwanza..
Serikali imewaachia wao wawalishe matango pori kama mnawasikiliza wasikilizeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanakosea nao jf tunasema magonjwa ya kupumuaKuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Hiyo familia ya benson ilikuwa na cheo gani serikarini mpaka watangaze kifo chake, mbona watu wanakufa miaka yote huku mitaani hawatangazwi, au kwa kuwa huyo anapesa?
Hata kama ungekua wewe ungetetea kitumbua chako kisiingie mchanga,yeye anatekeleza tu maelekezo mkuu.
Huyo mange atangaze ya huo USA ndiko aliko, ya huku awachie wa huku. Atwambie leo marekani wamekufa wa ngapi na watu weusi hawabaguliwi tena?
Huo sio uvumi, sema umekuja mapema sana, yaani"breaking news" na njia yake ndio hiyo!Kuna taarifa zinatolewa na watu wawili huko INSTAGRAM kuhusu mfululizo wa vifo vinavyosabbishwa na Covidn19...watu Hawa Ni Mange Kimambi na Ki.gogo !
Taarifa hizi zinatisha na kwa mujibu wa wachangiaji Hawa watu wanapelekewa na Watanzania wenzetu!
Hali inatisha na kuogofya ...!
mfano jioni hii Kigogo ameleta picha ya mtu ameanguka barabarani Moshi mjini.Akaongeza kuwa Casualty Depart.Tumbi imefungwa baada ya madaktri 3 na nesi 4 kuaga Dunia!
Jana na juzi waliposti mazishi ya usiku Dar.
Najiuliza usahihi wa hizi taarifa...mbona Serikali ipo kimya...Ni kitu gani hiki,hizi Watanzania wote wangekuwa Ni watumiaji wa hii mitandao Hali ingekuwaje.
Hawa watu Wana maelfu ya wafuasi ,hizi taarifa zikiachwa hivihivi bila kuzungumziwa watu wataziamini.,
Natumaini Serikali haijalala ...ukimya huu ....unatia mashaka.
Tunahitaji ukweli Sasa!
Nina wasiwasi hata huu Uzi Kama utaachwa na Mod mkiufuta mtakuwa Ni sehemu ya tatizo...
Cheo sio heshima pekee kwenye jamii. Jamii kama ya Arusha ya biashara inathamini zaidi wafanyabiashara wanaoleta kazi na kujenga miji kwa uwekezaji kuliko wadau wa serikali. Alikuwa mfanyabiashara toka miaka ya 80’s . Sababu ya kutangaza ni ili watu wasije kwenye mazishi maana amekufa kwa Corona na kuna masharti ya watu wasiozidi 10 hawakutaka watu waende kwenye mazishi halafu polisi wawazuie
Dawa ya uongo ni factsKatibu mkuu aliondolewa kwa kuwa alikuwa mkweli!
Mwanzo sikutaka kuamini kama wewe, ukweli hali ni mbaya,viongozi wamekosa utu,wameweka rehani maisha ya Wa-Tz. Hawasemi ukweli wanaangalia uchumi na kodi na bahati mbaya hiyo Kodi haimpi uhakika wa kupata huduma mhanga wa Covid-19.
Jilinde ndugu yangu,achana na wasaliti wanaolipwa fedha kina mjingamimi, Bia yetu nk.
Mama Ummy Mwalimu jiuzulu, funga yako haitaswihi kwa kusoma taarifa za uongo
Mange na kigogo wametoa idadi ya wagonjwa wangapi na marehemu wangapi wa corona?.
Au nao wanapiga ramli kwanza..
Serikali imewaachia wao wawalishe matango pori kama mnawasikiliza wasikilizeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo
*D E A T H A N N O U N C E M E N T*
*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha
*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz
*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha
*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*
*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*
*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*
Hakuna uvumi ni ukweli mtupu watu wanakufa na sasa wanakuwa wawazi na ndiyo maana serikali haiwezi kubishana na misiba. Tatizo data za serikali zinachelewa na kama ni mzee hawawi wawazi mfano hii familia ya mzee mwenye benson wa Arusha kafariki leo
*D E A T H A N N O U N C E M E N T*
*Haji Abbas Mohamedhussein*
(Benson )has passed away In Arusha
*Marhum was the Father of Raza and Naushad Grandfather of Nedeem and Safraz
*BURIAL*
DATE: *28/04/2020
DAY: *TUESDAY*
VENUE: Arusha
*COVID-19 RESTRICTIONS APPLY*
*1. Only Close Family Members (Ladies & Gents) to attend (5 - 6 from each side)*
*2. Everyone is requested to maintain the restrictions in place*