Samiaagain2025
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 3,626
- 3,869
Hilo mbona zamani halikuwepo?Kuna vyuo vya kati 35 vinavyotoa cheti na diploma nchi nzima.
Makadirio ya wahitimu kwa chuo kimoja ni >500 kwa mwaka...
Piga 500 x 35 = 17500 ...hayo ni makadirio ya chini,
Kwahiyo idadi ya walimu wa cheti na diploma wanaohitimu kwa mwaka ni kubwa kuliko degree,
Mkuu mbona unapinga ilikhali hujui kile unachopinga? Mshahara Wa Mwalimu Wa degree anayeanza kaxi kwa sasa ni D1 ambao ni almost 716,00O wakati huo D2 ni almost 740,000 na kuendelea,au unataka nikuwekee salary slip hapa ndo uamini?Mshahara wa mwalimu wa degree unazidi kiasi ulichokitaja.
Hata utokwe povu, ukweli ndiyo huo.Kwa hiyo serikali ya Jk ilikuwa na uhitaji mkubwa na pia ilikuwa na pesa nyingi za kuajiri walimu wote walipokuwa wakimaliza chuo?Hii ni kutetea ujinga.
Mimi sio mwalimu mkuu....Unajua maana ya Brain?
Kafanya vile ili kutilia mkazo kuwa jamaa anangalia gharama za mshahara tuUmepotosha mkuu,tofauti ya mshahara kwa Mwalimu Wa diploma na degree ni almost 190,000 kwa uwiano Wa daraja C na D sasa hio ya walimu watano Wa degree kiajili walimu 50 Wa diploma na Cheti inatoka wapi?
Maana hata Mwalimu Wa degree mmoja kwa mshahara wake hawezi kuajiri walimu wawili,maana mwalimu Wa Cheti anaanza na daraja B amabalo linamshahara Wa 400,000+ ,wakati mwalimu Wa degree ananza na mshahara usiozidi 720,000
hauko sawa mkuna tofauti kubwa tuMbona mishahara yao yakawaida sana sawa tu na mwl mwenye diploma?
Uongo mkubwaJibu lako ni hili hapa.
Walimu hao wenye degree ni wachache ukilinganisha na wenye certificate na ndio maana katika kuajiri utaona wao wachache kwa idadi ila kwenye ratio ni sawasawa tu...
Watu wanabwabwaja tu.
Mkuu kwa upande wa O' level walimu wenye shahada ndio wanafundisha kidato cha 3&4 huku walimu wenye diploma wakifundisha kidato cha 1&2. Mbali na O'level wenye shahada ndio wanafundisha advance na vyuo vya kati kwahiyo kwa kuangalia tu utaona jinsi walivyo na wigo mpana wa ajira lakini serikali haiwaajiri kwanini?Hao wenye degree wanalengwa wakafundishe A-level ambazo zipo chache, hivyo utaona hawahitajiki wengi saaana.
Duuuhh hii sasa kali mkuu. Kumbe tatizo ni kufaulu sana?Si mlikuwa mnajifanya mnafaulu Sana ma-A A na ma B mkachaguliwa directly mkasome bachelor huko ....
Sie ambao maksi zetu tia mchuzi tulianzia level ndogo saivi tumekula shavu....
Msipende kujifanya mna akili Sana ,mkafaulu Sana mkatuona Sisi vilaza haya vipi na madigirii yenu ...."mjiajiri" hakuna namna.
Use Ur brain...
Hahaa sifaham mkuu....Duuuhh hii sasa kali mkuu. Kumbe tatizo ni kufaulu sana?
Kama hujui vitu sio lazima uchangie Ni Bora upite kushoto .diploma na degree mishahara yao haipishan Sana hasa kwenye take home wote wanaambulia kwenye laki nne na points kadhaa ,utofaut wao Ni kwenye basic tu ambapo degree anaeanza Ni 716000 diploma 523000 Kama sijakosea Sana wakat chet basic ana 416000 Kama sijakosea pia so ukirud kwenye take home yule wa degree mishahara yao Ni Kama iko sawa maana Kuna utofaut mdogo Sana kulingana yule wa degree ana makato kibao ikiwepo loan board wakat diploma na chet Wana pishana Kama 90 elfu kwenye take home . Sasa hiyo hesab yako sijui umeitolea wap .Mbona jibu simple kabisa hapo, kwani hujui mwenye degree atatakiwa kulipwa mshahara mkubwa zaid ya mwenye cheti na diploma?
mshahara wa wenye degree watano, utakwenda kwa wenye cheti na diploma 50.
Ni hayo tu, maendeleo hayana chama
Mitano tena
Nyinyi ndio watu serikali inajivunia.Hata utokwe povu,ukweli ndiyo huo.
Eti eeeee....Nyinyi ndio watu serikali inajivunia.
KibundaKuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.
Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.
Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.
Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).
Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.
Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?
Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?
Hata shule za walimu wa certificates na diplomas ni nyingi kuliko hao wa degrees. Pia kwa nini serikali ibebe mzigo mzito kwa kuajili wa degree akafundishe level ya yule wa diploma wakati huyo wa diploma yupo? Kuhusu kulipa mkopo HESLB usijali, huwezi kuanza kulipa wakati huna cha kulipa/huna ajila, relax. Don't cross the bridge before you reach it.Kuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.
Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.
Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.
Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).
Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.
Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?
Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?