Kwanini Serikali inawabagua walimu wenye shahada kwenye ajira?

Kwanini Serikali inawabagua walimu wenye shahada kwenye ajira?

Hapana mkuu sio kweli

mwalimu mpya mwenye shahada anaanza na ngazi ya mshahara ya daraja D sawa na 716,000(basic). Baada ya deductions zote kuanzia cwt,nhif, heslb nakadhalika karibia nusu ya mshahara wote hurudi serikalini na hivyo kufanya mishahara yao kukaribiana kabisa na mishahara ya walimu wenye diploma. Kama ni kutofautiana wanatofautiana kwa kiasi kidogo sana kisichozidi 50,000.
Sasa huo mshahara mkubwa unaosema ni upi mkuu?
Huyu wa diploma hana mkato ya NHIF na cwt?
 
Mshahara wa mwalimu wa degree unazidi kiasi ulichokitaja.
Sio kweli mkuu labda kama unazungumzia basic salary. Take home ya mwl degree holder ni laki nne na points. Baada ya serikali kushusha paye ndo angalau wanachukua kilaki tano lakini bado hiachani sana na mshahara wa mwl mwenye diploma..
 
Sio kweli mkuu labda kama unazungumzia basic salary. Take home ya mwl degree holder ni laki nne na points. Baada ya serikali kushusha paye ndo angalau wanachukua kilaki tano lakini bado hiachani sana na mshahara wa mwl mwenye diploma..
Unapozungumzia mshahara wa mtu unakuwa unazungumzia basic salary na siyo take home. Take home inategemea kati ya mtu na mtu kadiri ya makato yake na madeni aliyo nayo. Hata hivyo,basic salary inazidi 720,000/= uliyoitaja wewe.
 
Mkuu mbona unapinga ilikhali hujui kile unachopinga? Mshahara Wa Mwalimu Wa degree anayeanza kaxi kwa sasa ni D1 ambao ni almost 716,00O wakati huo D2 ni almost 740,000 na kuendelea,au unataka nikuwekee salary slip hapa ndo uamini?
Bado haupo sahihi Mkuu! Siyo vizuri kubahatisha mambo. Weka hiyo salary slip niione.
 
Bado haupo sahihi Mkuu! Siyo vizuri kubahatisha mambo. Weka hiyo salary slip niione.
We we utakuwa na lako jambo
Screenshot_20201231-172923.jpg
 
Kuna shule ngapi za msingi- walimu wa cheti
Kuna shule ngapi za o-level- walimu wa diploma
Kuna shule ngapi za a-level- walimu wenye digrii.

Ndugu mwalimu mleta uzi hapa kinachoangaliwa ni allocation ya walimu kutokana na uhitaji. Equity not equality. Huwezi kuajiri walimu wenye degree wengi sawa na wenye cheti wakati shule za sekondari ya juu ni chache na wanafunzi ni wachache kuliko shule za msingi
Mkuu, mwl mwenye degree anaandaliwa kufundisha wanafunzi wa ngazi zote kuanzia O'level, advance na vyuo vya kati kwahiyo kusema wanatakiwa kufundisha Advance tu sio kweli ni uongo na upotoshaji.
 
We we utakuwa na lako jamboView attachment 1663945
Nadhani Sasa umekubaliana na Mimi kuwa haukuwa sahihi. Maana kiasi unachokiona hapo,ambacho ni D2 kwa huyo muhusika, ndicho kitakachokuwa D1 kwa mwajiriwa mpya.

Nikukumbushe tu kuwa wewe ulisema kwamba, mashahara hauzidi 720,000/= wakati hapo Kuna 733,000/=. Wakati mwingine kuwa makini Mkuu, hata hivyo nakutakia heri ya mwaka mpya Mwalimu, au rafiki wa Mwalimu.
 
Nadhani Sasa umekubaliana na Mimi kuwa haukuwa sahihi. Maana kiasi unachokiona hapo,ambacho ni D2 kwa huyo muhusika, ndicho kitakachokuwa D1 kwa mwajiriwa mpya.
Nikukumbushe tu kuwa wewe ulisema kwamba, mashahara hauzidi 720,000/= wakati hapo Kuna 733,000/=. Wakati mwingine kuwa makini Mkuu, hata hivyo nakutakia heri ya mwaka mpya Mwalimu, au rafiki wa Mwalimu.
Acha ubishi wewe , mshahara Wa D1 ni 7160,000 ukikataa naweka hapa salary slip,I think your are not fine in your head
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.

Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.

Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.

Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).

Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.

Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?

Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?
mshahara

Sent from my itel A11 using JamiiForums mobile app
 
Kuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.

Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.

Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.

Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).

Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.

Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?

Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?
Kwani hiyo mikopo wameambiwa walipe kabla ya kupata Ajira ?
 
Hiyo ilikuwa zamani mkuu...
Kwa sasa wenye degree wapo wengi sana wanaweza kuwapita hata wenye diploma. Mf. Chuo kimoja tu cha Dar (udsm) kinazalisha zaidi ya walimu 2000 kwa mwaka lakini kati ya hao wanaopata fursa za ajira ni chini ya walimu 500 Wengine zaidi ya 1500 wanaachwa. Kwa muktadha kama huo huwezi kusema ratio iko sawa sawa ikiwa idadi ya waajiriwa ni ndogo mara dufu ya idadi ya wanaoachwa...
Walimu wa arts hawahitajiki
 
Kitu ambacho hamjakigusa.
Sababu inaweza kuwa namna walimu hawa wanavyoandaliwa.

Namna wanavyoandaliwa walimu ngazi ya cheti na stashahada ni sawa. Lakini kwa ngazi ya shahada kuna utofauti mkubwa.
 
Nadhani Sasa umekubaliana na Mimi kuwa haukuwa sahihi. Maana kiasi unachokiona hapo,ambacho ni D2 kwa huyo muhusika, ndicho kitakachokuwa D1 kwa mwajiriwa mpya.

Nikukumbushe tu kuwa wewe ulisema kwamba, mashahara hauzidi 720,000/= wakati hapo Kuna 733,000/=. Wakati mwingine kuwa makini Mkuu, hata hivyo nakutakia heri ya mwaka mpya Mwalimu, au rafiki wa Mwalimu.
sio kweli mwajiriwa mpya ananza na D1

hata mwl aliyepandishwa daraja kutoka C kwenda D, anaanza na D1 sio D2

kisheria kila baada ya mwaka 1 mtumishi anatakiwa atoke grade moja ya ngazi aliyonayo kama hajafikia sifa za kutoka ngazi moja ya mshahara kwenda nyingine mfano tgtsc»»»Tgtsd

grade ni hizi c1,c2.... au D1, D2.....

mfano mtumishi kama yupo D1 baada ya mwaka1 anatakiwa awe D2
 
Serikali sasa hivi haitaki watu wenye madegree wanaipa hasara kwa mchanganuo ufuatao.

Graduate degree- ina muajiri kwa mshahara mkubwa halafu anaenda kufanya kazi bila experience then inamlipa mshahara mkubwa .

Diploma holder- anaajiliwa kwa mshahara wa kawaida anaenda kufanya kazi bila experience kwa mshahara wa kawaida then ana gain taratibu na kuweza kuperfom hata majukumu ya graduate kwa kama miaka mitatu hivi anakuwa na experience ya kutosha halafu serikali ina mshawishi akajiendeleze kwa pesa yake mwenyewe anaenda anasoma anarudi haihitaki tena experiences hapo anabadilishwa daraja na mshahara.

Swali. Nani anaepata hasara kati ya mwajili na mwajiliwa?
 
Kitu ambacho hamjakigusa.
Sababu inaweza kuwa namna walimu hawa wanavyoandaliwa.

Namna wanavyoandaliwa walimu ngazi ya cheti na stashahada ni sawa. Lakini kwa ngazi ya shahada kuna utofauti mkubwa.
Kwamba walimu wenye shahada hawaandaliwi vema au unataka kumaanisha nini hapa?
 
Back
Top Bottom