nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,035
- 2,938
Mhhh, kwani hao wenye PHD wameifanya nini serikali ?
Serikali haitaki wasomi wazuri,Ili msiende kuwasumbua viongozi.
Inataka vilaza wenye Elimu ya kuunga unga,Ili iwaperekeshe kama bendela,