Honorable GPA
Senior Member
- Mar 31, 2019
- 149
- 223
Hii hali inakatisha tamaa hata kuomba ajira! Labda kwakuwa utawala umebadilika ngoja tuone mama Atakuja na yapi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo sahihi Mkuu.Umepotosha mkuu,tofauti ya mshahara kwa Mwalimu Wa diploma na degree ni almost 190,000 kwa uwiano Wa daraja C na D sasa hio ya walimu watano Wa degree kiajili walimu 50 Wa diploma na Cheti inatoka wapi?
Maana hata Mwalimu Wa degree mmoja kwa mshahara wake hawezi kuajiri walimu wawili,maana mwalimu Wa Cheti anaanza na daraja B amabalo linamshahara Wa 400,000+ ,wakati mwalimu Wa degree ananza na mshahara usiozidi 720,000
Mmhhh!!!, SidhaniJibu lako ni hili hapa.
Walimu hao wenye degree ni wachache ukilinganisha na wenye certificate na ndio maana katika kuajiri utaona wao wachache kwa idadi ila kwenye ratio ni sawasawa tu...
Watu wanabwabwaja tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wenye degree mna uwezo mkubwa wa kujiajiri...(in Ndugai's voice)
Nasema uwongo ndugu zangu?
Sio kivileeeee!!!![emoji23][emoji23]Hao wenye degree wanalengwa wakafundishe A-level ambazo zipo chache, hivyo utaona hawahitajiki wengi saaana.
Unatugeuza fursa sasaKuendelea kusubili ajira za ualimu wa sanaa utasononeka Sana....
Ndio maana nikasema kweny maisha Kuna muda assume kuanza upya....
Assume means: to think that something is true or probably true without knowing that it is true......
Nili ahidi Mwaka huu 2021 inshallah....mwishoni ntakamilisha ahadi yangu ya kuwa andalia VIJANA.... motivational speech.
Mkuu BADO naendelea kuwaandalia.....chakula ya ubongo nyinyi vijana....Unatugeuza fursa sasa
Tumepigwa na govt. na sasa unakuja na motivation speech zako
Mtuache jamani
Kimsingi walimu wanatakiwa kuwa na degree, hao wenye certificate na diploma ni walimu wasaidizi na hii haijalishi shule ya msingi au sekondari.....sasa serikali badala ya kuajiri walimu, inakomaa kujaza walimu wasaidizi ili kukwepa kulipa mishahara mikubwa, jambo ambalo linadidimiza elimu...Sio kivileeeee!!!![emoji23][emoji23]
Elimu yetu inahitaji mageuzi makubwa sana ili kuzalisha wataalam watakao tumia usomi wao kuendeleza miradi mikubwa ya nchi na kutumia raslimali zetu wenyewe badala ya kuzitapanya kwenda nje ya nchi. lakini yote haya yatabaki kuwa ndoto kama tutaendelea kukumbatia elimu na ualimu wa cheti ambao kimsingi hautambuliki dunianiKimsingi walimu wanatakiwa kuwa na degree, hao wenye certificate na diploma ni walimu wasaidizi na hii haijalishi shule ya msingi au sekondari.....sasa serikali badala ya kuajiri walimu, inakomaa kujaza walimu wasaidizi ili kukwepa kulipa mishahara mikubwa, jambo ambalo linadidimiza elimu...
Sina hakika km unachokisema Kina ukweli kwasababu nimeshuhudia mara kadhaa uwezo wa Walimu ngazi ya Diploma na Cheti kuwa mkubwa kuliko wa degree sasa sijui hilo unalizungumziaje?Kimsingi walimu wanatakiwa kuwa na degree, hao wenye certificate na diploma ni walimu wasaidizi na hii haijalishi shule ya msingi au sekondari.....sasa serikali badala ya kuajiri walimu, inakomaa kujaza walimu wasaidizi ili kukwepa kulipa mishahara mikubwa, jambo ambalo linadidimiza elimu...
Uwezo mkubwa upi unaoongelea, huo uwezo mkubwa ni kwenye ngazi yao ya elimu......vinginevyo degree, Masters na PhD zingeondolewa kwa sababu wenye certificate tayari wana uwezo mkubwa, acha kujifariji nenda shule...Sina hakika km unachokisema Kina ukweli kwasababu nimeshuhudia mara kadhaa uwezo wa Walimu ngazi ya Diploma na Cheti kuwa mkubwa kuliko wa degree sasa sijui hilo unalizungumziaje?
Ulichosahau ni kwamba huo uwezo mkubwa walionao walimu wa cheti na diploma unatokana na kunolewa vyema vyuoni na walimu wenye degreeSina hakika km unachokisema Kina ukweli kwasababu nimeshuhudia mara kadhaa uwezo wa Walimu ngazi ya Diploma na Cheti kuwa mkubwa kuliko wa degree sasa sijui hilo unalizungumziaje?
Mimi sio mwalimuUwezo mkubwa upi unaoongelea, huo uwezo mkubwa ni kwenye ngazi yao ya elimu......vinginevyo degree, Masters na PhD zingeondolewa kwa sababu wenye certificate tayari wana uwezo mkubwa, acha kujifariji nenda shule...
Sawa mwenye digriiiUlichosahau ni kwamba huo uwezo mkubwa walionao walimu wa cheti na diploma unatokana na kunolewa vyema vyuoni na walimu wenye degree
We we utakuwa na lako jamboView attachment 1663945
Mkuu tambua kuwa wengine hawana hata hicho kidogo unachokishangaaHivi huo mshahara walimu wanaishije ?
Punguza dharau kidogo kwenye vipato vya watu. Kumbuka hicho hicho kidogo kuna watu kimewatoa kimaisha pengine kukuzidi hata wewe unayewadharau...!Hivi huo mshahara walimu wanaishije ?
Serikali haitaki wasomi wazuri,Ili msiende kuwasumbua viongozi.Kuna kitu hakipo sawa kwenye ajira za walimu.
Kwenye kila kibali cha ajira kinachotoka idadi ya walimu wenye shahada wapatao fursa ya kuajiriwa serikalini huwa ni ndogo sana kulinganisha na walimu wa ngazi zingine za kielimu kama vile cheti na diploma.
Kielelezo kizuri ni ajira zilizotoka juzi ukizichunguza kwa makini utakubaliana na hiki ninachokisema.
Kwani katika hizo ajira, wenye shahada walioajiriwa hawafiki hata robo ya waajiriwa wote(wapo chini ya 1500 kati ya 8000).
Tukumbuke asilimia kubwa ya walimu hawa wamesomeshwa na serikali hivyo wanadaiwa na bodi ya mikopo(HESLB). Lakini cha kushangaza serikali ni kama inatoa kipaumbele kidogo kwa wao kuajiriwa.
Je, ni kipi hasa kinafanya walimu hao waajiriwe kwa uchache kuliko walimu wengine?
Je, watalipaje madeni yao ya mikopo kama serikali itaendelea kuwaacha mitaani?