The Hyper
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 1,788
- 1,101
Tofauti ipo umeambiwa.Ndio sikatai tofauti ipo lakini ni kidogo wewe ambacho huelewi ni nini mkuu?
Nyie ndio mnafanya walimu waendelee kulipwa maslahi duni kwasababu ya kutaka kuaminisha jamii kwamba walimu wenye shahada wanalipwa mishahara mikubwa wakati sivyo.
Mbona u mbishi sana mwalimu?