Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio hisia ndivyo mtaala unavyotaka. Mwalimu mwenye shahada anafundisha kuanzia kidato cha tatu hadi cha sita, vyuo vya kati na vyuo vikuu kama tutorial assistant. Hivyo walimu wa diploma wanaofundisha kidato cha 3&4 ni kwa sababu ya emergency kwa shule ambazo zinakuwa na upungufu wa walimu wenye shahada.
Subir salary itoke ndio utakuwa na uhakika kamili,kuna halmashauri umesaini hyo D1, na kuna halmashaur wamesaini kama unavyosema.Mkuu, saivi hakuna cha D1. Walimu wapya wameanzia kidato cha tatu cha ngazi ya mshahara (D3) ndio maana ya hilo ongezeko
Kwann kuna utofauti...mwingn 756k mwngn 750k na wengn wapya pia 716kMkuu, saivi hakuna cha D1. Walimu wapya wameanzia kidato cha tatu cha ngazi ya mshahara (D3) ndio maana ya hilo ongezeko
Uhakika ni kidato cha tatu cha ngazi ya mshahara TGTS D3 Hiyo ni kwa mujibu wa waraka uliotolewa na utumishi mwaka jana.Subir salary itoke ndio utakuwa na uhakika kamili,kuna halmashauri umesaini hyo D1, na kuna halmashaur wamesaini kama unavyosema.
Acha kuandika vitu kwa hisia wewe...Katika ufanis diploma anakuwa bora zaid kuliko wa degree
Diplo amejifunza kazi kwa vitendo zaid while degree yeye darasani sana nadharia nyingi
Una assume vipi mkuu?Ntaandika kwa ufupi sanaa....Na washauri vijana walio soma bachelor degree za education katika masomo ya sanaa na za kufanana na izo.....
Hatua ya kwanza Ni Kukubali ukweli kua ajira Ni Nightmare....
Kuna watu Wana bahati Zao kweny maisha....yaan HAWAJAWAI ku haso......
Wapo wanao pata Ila WACHACHE
Kuna jamaa alisoma chuo Kikuu bagamoyo...
Kamaliza 2017, language na kiswahili kapata ajira huko muleba shule Moja ya secondary....
Ukisubiri ajira za ualimu utasononeka Sana utapata stress na depression juu.....
Ushauri kwa vijana acha kujilaumu assume kuanza upya....hii Ni sawa na umepata ufunguo alaf kitasa kikabadilishwa.......
Kuendelea kusubili ajira za ualimu wa sanaa utasononeka Sana....Una assume vipi mkuu?
Toa way forward vijana tujifunze
Hakuna pesa tuna deal na miradi mikubwa.Nafikiri itakuwa no issue ya mishahara.Nafikiri nimeeleweka,kuhusu mikopo watalipaje Hilo tuliachie watoa ajira.
Unayo GPA ya ngapi mdogo wangu?Ngoja tuone utawala mpya wa mama kama nao utaendelea na huu ubaguzi kwenye ajira!!
4.6Unayo GPA ya ngapi mdogo wangu?