Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Kama ni haki yako kujua Rais alipo, umeenda Ikulu kumuulizia wakakuzuia?
 
Kichekesho Cha kumaliza weekend! Ati alisomeshwa na pesa za CCM! Hii CCM kumbe Ina pesa za kusomesha watu? Inapata wapi pesa hizo? Mbona inabagua Sasa kwa kuwasomesha watoto wa mawaziri wastaafu badala ya wale wa wakulima wanyonge? Hebu jazia nyama hapa juu ya CCM kusomesha kwa pesa!
 
Watu wengi kina nani hao unaowazungumzia? acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watanzania watanzania wanamkubali JPM na hawana haja na kelele zenu
 
Tunaingia kwenye machafuko kwa sababu Rais anaumwa? Kwani kuna nini cha ajabu? Utakuwa na matatizo kichwani wewe,si bure!
Wanataka kuchochea machafuko kwa kuzua taharuki kuwa nchi haina kiongozi kwa sasa, hiyo ni treason
 
wewe huyo maria angepewa nafasi serikalini unadhani angekuwa anakesha Twitter kuchafua nchi? amekosa ulaji angepewa akatae tungejadiliana hahahahaha
Yale yale!!! Yaani hufahamu kwamba wengine kuajiriwa sio one of their best option!!! Yaani hujui kwamba wengine kuajiriwa ni alternative option! Pole sana, no wonder vijana siku hizi huwa mnajitoa sana akili mbele ya wanasiasa ili mpate anghalau kazi ya kubeba mikoba yao!!
 
Hahah nimecheka sana. eti kasomeshwa na CCM?
nani kasema?
Amesomeshwa na mshahara wa baba ake. kodi za watanzania ndio zinamlipa baba ake kisheria.
na hiko kisiwe kigezo cha kuikosoa serikal inapovurunda.
japokuwa sikubaliani na baadhi ya harakati zake.

pile huna ushahidi kuwa anatumiwa na wazungu. kumeibuka kikundi flani hizi kuwa kila mtu anaipinga serikali anatumiwa na wazungu this is bullshit.

tatu anampa nani hofu? so far sioni hofu yoyote
 
angepewa kwanza akatae achna na assumptions...kumbuka tunaongelea mtu aliyekuwa anapigia kampeni magufuli na kuwatukana chadema akiwaita mafisadi wapya hahahaahaha
 
Hahatarishi kwa maslahi yake binafsi Bali ni mtetezi kwa wanaominywa hawana ubavu wa kuongea. Kila mtanzania ana mawazo Kama ya Maria ila tumekandamizwa na dictator. Vyombo vya habari tu ni kusifu na kuabudu siyo kwamba wanapenda ila wameminywa. Vijana wanahangaika mtaani bila ajira siyo wanapenda ila wanaominywa tu. Sasa wamechoka wameamua Kama mbwai na iwe mbwa Tena ingekuwa inawezekana hata Lile daraja la ubungo wangelivunja sema tu ubabe umepandikizwa from day one. Wasukuma ndo wanaula
 
waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Acha kuwaza kipumbavu wewe na unataka mawazo yako yawe ndio ya wengine! Unayewaza machafuko ni wewe peke yako na mtazamo wako Hasi ambao hata ukiiulizwa sababu za hayo machafuko hutokuwa nayo! Try to think positive madame! Au Nia yako ni kuanzisha hayo machafuko ukijificha nyuma ya Maria? Yaanzishe ukiona Cha mtema kuni!
 
mkuu mbona haujazungumzia mapesa ya meremeta? we all know nani alikuwa stelingi wa kuyaiba. leo hii anajifanya anapigania ukweli ukimuuliza hela za meremeta anakupiga block
 
unajua kama analipwa na shirika linaitwa Ford foundation? anapokea dola million 100 per year...wewe kaa hapo unalowa makwapa eti anawasemea watu
 
Kw hiyo jpm yeye hataki kukosolew kabisa. Aise tuna wakati mgumu Sana jamani
 
unajua kama analipwa na shirika linaitwa Ford foundation? anapokea dola million 100 per year...wewe kaa hapo unalowa makwapa eti anawasemea watu
Hata sisi tumekosa fulsa tu kwa Hali ilivyo kwa sasa hata alshaabab wangekuja tz ningejiunga kwa ajiri kumlipua rais. Nchi imekuwa Kama geto Mali binafsi yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…