Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Naona kama hujamalizia uzi wako, ungeendelea pia kusisitiza waandishi walioandika habari ya uzushi kuhusu kifo cha Mbowe na Mrema nao wakamatwe, bila kusahau waliondika kwamba mzee Sarungi amefariki, wakuu tujaribu kuwa wakweli wa nafsi zetu tusipende mabaya kwa wenzetu, halafu tukiguswa sisi tunataka tunapiga mayowe.
Hao siyo binadamu wala hayo magazeti hatafungiwa
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Wewe mpk sasa umekamata wangapi
 
watu wengi kina nani hao unaowazungumzia? acheni kujipa umuhimu kwenye maisha ya watanzania watanzania wanamkubali jpm na hawana haja na kelele zenu
Wanamkubali ndio sababu wanataka awe salama na tumuone.jana asubuhi kipindi Cha star TV (jicho letu ndani habari)waliopiga simu wote walihitaji wamuone Rais wao na ni haki yao kujua.na huu ni utamaduni wetu.kwa viongozi wetu waliotangulia tulijuzwa .
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Kwa hiyo mnataka kumkata kwa kutumia katiba ya CCM?
 
angepewa kwanza akatae achna na assumptions...kumbuka tunaongelea mtu aliyekuwa anapigia kampeni magufuli na kuwatukana chadema akiwaita mafisadi wapya hahahaahaha
Bado upo kwenye fikra zilezile!! Yaani mtu akimpigia kampeni JPM ndo anatafuta cheo?! Hivi kwa akili yako wana-CCM WOTE wanafurahishwa na Magu?! Au ndo bado unaamini kama kuna mwingine yeyote asiyefurahishwa na Magu ni kwavile hakupata ulaji?!

Labda tu nikukumbushe, Maria Sarungi amepata degree yake ya kwanza enzi za Mkapa! Kama anagekuwa na passion kubwa kiasi hicho ya kutaka kazi serikalini tayari angekuwa nayo hasa ukizingatia baba yake alikuwa waziri na elimu alikuwa nayo!!
 
Mambo mengine yaache wewe tafuta ugali wako ....
 
tafuta hela ndio zitakukomboa inaonekana una frustration za maisha magumu. mmewekwa kwenye illusion kwamba kuna mtu atakuja kuwapa maisha mazuri jinga wahed
Basi aondoke Kama Hana uwezo huo. Ndo Mana nchi inakuwa na kiongozi otherwise kila mtu ajiongoze mwenyewe. Sasa yeye hana uwezo huo halafu anangangania uraisi
 
Basi aondoke Kama Hana uwezo huo. Ndo Mana nchi inakuwa na kiongozi otherwise kila mtu ajiongoze mwenyewe. Sasa yeye hana uwezo huo halafu anangangania uraisi
aendi popote chuma bado kipo wewe endelea kusubiri rais ataekupa hela mfukoni
 
Back
Top Bottom