sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
- #121
sio lissu tena? 😂Amuachie jk mwenye uwezo. Jpm alipaswa kuwa mkuu wa mkoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sio lissu tena? 😂Amuachie jk mwenye uwezo. Jpm alipaswa kuwa mkuu wa mkoa
waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Wewe inakuhusu nini? Acha kufuatilia mambo ya wanawake mkuu.kiki ili nigundue nini hapa jf? tatizo mnapenda sana maisha ya kulalamika. mnafikri lolote baya likimpata mh itabadili maisha yenu kwenye individual level kina maria wanawadanganya...wakati wazee wao wanakula wao walikuwa kimyaaaa
Kwa sababu ccm ndo I'll madarakani Basi ampishe jksio lissu tena? 😂
Mzee leta ushaidi hapa, acha mambo ya ajabu , we ndo upo gizani unaongea vitu ambavyo havina ushaidi. Embu leta hapa Mana wewe ndo umelalamikaanaeitaji akaitafute siangaiki na nyumbu walio gizani
siasa sio mambo yangu ila wajinga wajinga wakitaka kututia kwenye machafuko lazima tuje tuwafunze adabu.Mwenye maisha na dili haandiki na kuhoji hoja zilizopooza hivi! Naisoma mood yako kwenye mwandishi yako na unaonekana mtu mwenye dhiki Sana na unatamani kutoka kupitia siasa na kujipendekeza! Lucky is not on your side anymore!
Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Hao wanapewa vocha ajili ya kutetea ujingaNa wewe jaribu kuficha ujinga wako, utaratibu gani ufuatwe na wananchi wote hapo chamwino kwa ajili ya kwenda kumuulizia tu rais kama yupo au la?
Hili swali ungewauliza waliotunga katiba ingependezamnataka kumfanya nini? mfano ukitafutwa uieleze serikali unamtaka rais umfanye nini?
Mje mkiwa wangapi? Au una genge la kuteka na kutesa? Moendwa funguka acha kujificha kwenye shamba la karanga utaonekana Sasa hivi na utasahaulika! Chunga kauli zako kwani hiyo ccm unayoitarajia ikusaidie pindi ufikwapo na madhila ndiyo itakuwa ya kwanza kukataa! Waulize kina Msando watakuelewesha!siasa sio mambo yangu ila wajinga wajinga wakitaka kututia kwenye machafuko lazima tuje tuwafunze adabu.
Umekumbuka kutawadha au umesugua mchangani?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Kumbe unasikia analipwa kulichafua taifa letu pendwa Tanzania? Nilijua una evidence za kuback up kauli yako 🙌Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Machafuko ya niniwaziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Unayajua machafuko wewe? Yaan kuumwa aumwe Magu..sisi tupigane .kwan ana Uungu ndani yakewaziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
hichi mnachotaka ni vurugu na mimi nasema mnyooshwe sana tuWaziri mkuu ndiye Rais?
Wananchi hawajawahi kumchagua waziri mkuu ama waziri yeyote Bali waliteuliwa na Rais aliyechaguliwa na wananchi,YUKO WAPI RAIS WETU?????