Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mnatakiwa mpewe kipondo heavy maana mmevimbiwa amani.Unayajua machafuko wewe? Yaan kuumwa aumwe Magu..sisi tupigane .kwan ana Uungu ndani yake
Mna huo ubavu kuifungia jf?wafungien waume zenu sio jfwewe ulimuona rais anaumwa? hivi nyinyi kwsho mkikuta jf imefungiwa mtalalamika na mnayazua wenyewe mabalaa
Machafuko kivipi kijana? Kwani rais asipokuwepo serikali inalala? Governmental organs hazifanyi kazi? Msiongee kama vile nchi haina Katiba au haijulikani Jambo flani likitokea nini kinafuata.waziri mkuu ameshajibu...anachotaka ni nini? anataka tuingie kwenye machafuko?
Unaumwa wewe..kwa amani ipi!mnatakiwa mpewe kipondo heavy maana mmevimbiwa amani.
wewe ushawai kuona tajiri kijana nchi hii akawa chadema? ukiona chademq anavisenti ujue ni mwizi kama kina lema wezi wa magariCCM ina hazina kubwa ya vijana wajinga kama UJINGA ingekuwa utajiri basi vijana wake wangekuwa matajiri kuliko akina bill gates
Tofautisha kati ya woga nakuwa na akili kuzidi MATAGAMaria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
Rais kuumwa no kuhatarisha amani! Una matatizo. Kwani Nani hajui jpm Yuko India anaumwa sanaKuandika au kusambaza ujumbe wa kuhatarisha usalama wa rais na nchi kwa ujumla
kwa kuwa wewe ndio ulimpandisha ndege. mkiiitwa nyumbu mnasema mmekosewa ila akili zenu kama nyumbuRais kuumwa no kuhatarisha amani! Una matatizo. Kwani Nani hajui jpm Yuko India anaumwa sana
Chadema chama cha wahuniChama Cha Mazezeta
Hana akili ambazo mnamsifia ninyi Baa VichaaaTofautisha kati ya woga nakuwa na akili kuzidi MATAGA
Sasa suala la meremeta na Maria linahusiana vipi?! Au unatakiwa kujuzwa kwa mara ya kwanza kwamba suala la Meremeta halikuwa tatizo kwenye serikali ya mkapa wala serikali yoyote?!! Kwamba ungeona amepewa cheo akatae kama ulivyowahi kuona lini akipewa cheo?! Au pia unatakiwa kujuzwa kwamba Maria angekuwa ni mtu wa kujikomba kwa serikali ili apate vyeo basi hata kwenye Bunge la Katiba angekuwa upande wa CCM na sio upande wa waliopinga Rasimu ya CCM?!mzee alikwapua hela za meremeta.
maria tungemuona mkweli kama angepewa cheo na akakikataa
Nani Kajengewa hofu na Maria ?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
umesahau alikuwa mpiga kampeni wa jpm 2015 hahahahaahah . baada ya kunyimwa ulaji akaanza kumtukana hahahahaahSasa suala la meremeta na Maria linahusiana vipi?! Au unatakiwa kujuzwa kwa mara ya kwanza kwamba suala la Meremeta halikuwa tatizo kwenye serikali ya mkapa wala serikali yoyote?!! Kwamba ungeona amepewa cheo akatae kama ulivyowahi kuona lini akipewa cheo?! Au pia unatakiwa kujuzwa kwamba Maria angekuwa ni mtu wa kujikomba kwa serikali ili apate vyeo basi hata kwenye Bunge la Katiba angekuwa upande wa CCM na sio upande wa waliopinga Rasimu ya CCM?!
Maria Sarungi ni victim Kampeni za Mwaka 2015 walikua katika kambi ya Magufuli walikua Maria Sarungi, Evarest Chahali, Semkae hawa baada ya JPM kushinda walitegemea kupata vitengo kwenye serikali lakini mda ulizidi kwenda bila kupata favor yeyote ndo wakaegeuka kuwa wakosoaji wa serikali ya Rais Magufuli ni Wachumia tumbo tuuu. Sema Maria Sarungi ni Muoga bado hajaingia kwenye target ya kuweza kukamatwa she is very cautious! .
sisi wananchi. anaeneza uzushi mwingi sanaNani Kajengewa hofu na Maria ?
Mataga acheni useng.e
Umeenda ikulu ukamkosaMaria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.