Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Wataje na hao walio kwenye kundi lake, ili iwe rahisi kwa wakamataji. Lakini muwe tayari kuthibitisha tuhuma dhidi yao isije ikawa wana express mawazo au mitazamo yao tu, jambo ambalo ni haki kwao..
 
Yale magazeti yaliyoandika kuwa Mbowe na Mrema wa CHADEMA kuwa wamekufa kwa korona uliishauri nini serikali?
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
 
Halafu tunaomba utuorodheshee makosa yake tuyajue.
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
 
Pesa ni za walipa kodi, na kama anachofanya ni kinyume na sheria za nchi yetu nenda kapeleke kesi mahakamani.
Ukweli utajulikana tu. Huwezi kujifungua ndani mwezi mzima eti unapitia mafaili nyeti!
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Na wewe akisema ukamatwe?
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Sema anakuletea taharuki anawaletea wakinani?
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Acha uzoba. Hela za ccm ziko wapi?
 
Hujielewi ueandika utumbo wako bika kufikiri. Serikali inatakia imkamate na kukshitaki yule mhuni anayevunja katiba na sheria za nchi
 
Alafu si nyie maccm mmesema baba yake Maria amekufa sasa hamuogopi hata mtu bado hajamaliza matanga..... Ng'ombe kabisa nyie majitu
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Hivi wewe mtoa mada, unajielewa vizuri? Ukimfunga huyu bibie ,watainuka wengine zahidi yake Mara mia, aliekwambia kukosoa serikali, ni kosa nani? Na je inawezekanaje tz yenye mil 50, ya population kila mtu awe serikalin hasa kwenye vikao vya mahamuzi vya taifa Hili,.
Tz yetu wote ,hakuna mwenye hatimiliki, chambua ushauri mbalimbali kutoka KWA wadau,wenye tija chukua, ambao hauna tija hachana nao, kufunga watu sio suluhisho mkuu, tafakari na chukua hatua mkuu
 
Watu wanataka kujua mtumishi wao wanae mlishi, kumvalisha, kumnywesha kwa kodi zao yupo wapi? Isije kua anatafuna kodi tu halafu kazi hafanyi

Ni haki ya mwajiri kujua alipo mfanyakazi wake na anafanya nini.
 
Back
Top Bottom