Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,160
- 9,151
Arudi kanisani kuimba kwayaWeka kosa moja la Maria Sarungi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arudi kanisani kuimba kwayaWeka kosa moja la Maria Sarungi
Duuh!Wewe inakuhusu nini? Acha kufuatilia mambo ya wanawake mkuu.
Utasutwa.
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Waziri mkuu ameshajibu...nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Nitarudi.
Ukweli utajulikana tu. Huwezi kujifungua ndani mwezi mzima eti unapitia mafaili nyeti!Pesa ni za walipa kodi, na kama anachofanya ni kinyume na sheria za nchi yetu nenda kapeleke kesi mahakamani.
Tangu lini Misukule ya Magu ikawa na uwezo wa kusoma?! Ndo maana wengi wenu ni vilaza!!!tuma voice note sina muda wa kusoma utopolo
Na wewe akisema ukamatwe?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Sema anakuletea taharuki anawaletea wakinani?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Usipende kuingilia mazungumzo ya wakubwa,mna nia ovu lazima mkamatwe muulzwe why mnazusha uongo. mnataka kumfanya nini rais?
Acha uzoba. Hela za ccm ziko wapi?Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Tuingie kwenye machafuko kwa sababu zipi??Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Kwani wewe na genge lako unampango wa kuleta machafuko au?Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Hivi wewe mtoa mada, unajielewa vizuri? Ukimfunga huyu bibie ,watainuka wengine zahidi yake Mara mia, aliekwambia kukosoa serikali, ni kosa nani? Na je inawezekanaje tz yenye mil 50, ya population kila mtu awe serikalin hasa kwenye vikao vya mahamuzi vya taifa Hili,.Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.
Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.
Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
maria sarungi pesa za mabeberu zi
Naona umaskini wa kifikra ndo tatizo.......ukisha improve hapo mabeberu wataombwa msamaha.maria sarungi pesa za mabeberu zitamtokea puani jinai haifi.