Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Kwanini Serikali isimkamate Maria Sarungi na kundi lake?

Nyie ndio mnaoiharibu Sinza ya siku hizi ionekane haina tena Wajanja.
watoto wa mjini atushikiwi akili na wachaga.
tunajua maisha mazuri yanapatikanaje wanaweza kuwadanganya nyie oyaa oyaa
 
Hao ndio ile aina ya watoto katika familia ambapo wanakua wamepata makuzi tofauti na wenzao kwa maana kwamba wamedekezwa kupitiliza hivyo mzazi anakosa sauti juu yao, na wanatokea kuwa embarrassment kwa familia.

Yaani familia inaona aibu kwa matendo yao lakini haina namna , unabakia kua mzigo wao tu.
 
Anajitafutia umaarufu frani ili wamjue haina madhala Hana uwezo wa kubishana na serikali ivo wakiona amezidi atashugulikiwa.mjaruo tena wa utegi siku 1 akihitajika.
 
hawa chadema ambao wanajinasibisha na demokrasia walishwindwa kuwsikilza wale wadada makamanda kuwapa demkorasia.shame
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Njia nzuri na rahisi ya kumkomesha ni kuisafisha "nchi yenu" isichafuliwe; au huelewi mkuu?

Hayo unayopendekeza ndiyo yatakayozidi kuichafua nchi hiyo yenu.

Hivi akili zenu mmeziweka wapi?
 
ukitakiwa utapatikana tu, si unajifanyaga usalama wewe. unadanganya wajinga wenzio sasa utashughulikuwa ukiendelea..... yule demu wa umu wa kinodnoni ndio kakuuza hahaahhaahah
Sina haja ya kubishana na wewe maana naonekana nami ni narrow minded person. Nipo karibuni
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.

Yaani u sound like a kindergarten.
Why not Mwana FA na hao wabunge wengine ?
 
Waziri mkuu ameshajibu, nachotaka ni nini? Anataka tuingie kwenye machafuko?
Naona wewe umejiunga hapa JF tokea 2014, na pengine ulianza kuingia humu mapema hata kabla hujajisajiri.
Miaka yote hiyo ya kuingia humu, hujaweza hata kujifunza kitu kikakusaidia, au huwa unaingia kusoma mabandiko ya wapuuzi wa huko huko unakoegemea wewe?

Huna chochote unachojifunza humu JF ili kuweza kukupanua mawazo na kuachana na mawazo ya aina hiyo uliyoonyesha hapa?

Mbona watu kama Lissu wamepigwa risasi nyingi, na wengi wamewekwa mahabusu lakini kuhoji hakukomi!

Kwa hiyo wewe unadhani kumweka Sarungi ndani ndipo watu watakoma na kuacha kuhoji?
 
Maria hoja yake kuu ni wapi alipo Mh Rais. Na katiba inaruhusu wananchi kuuliza alipo Rais wao. Sasa wewe umekuja na eti anamzushia hebu leta hata twiti moja kuonyesha aliposhiriki kumzushia Rais.
Tuna tatizo Tanzania na mabulushi na mashombe. Ndiyo maana Katiba ya Warioba ilisema ili uwe Rais lazima uwe raia wa Tanzania wa kuzaliwa na wazazi wako wote wawe raia wa kuzaliwa.

Utakuta hawa wengi mama zao ni wazungu au waarabu wanamdharau baba yao ngozi mweusi wanalala upande wa mama mwarabu. Weye angalia huyu na kundi lake.

Ebu hapo mwenyewe jiulize: mtoto wa Sarungi kweeeeeli kweli utategemea apinge mapinduzi ya Zanzibar yaliyomgomboa mtu mweusi kwa waarabu? Au Azimio la Arusha?
 
Kama kweli analeta taharuki unadhani serikali haioni? Maria amekuwa vocal against the govt kwa mda sasa, ameinjinia kuonyesha dunia kwamba JPM ni authoritative na dikteta wa hali ya juu tangu kipindi cha uchaguzi. Mbona hajakamatwa?
 
Ndo naingi🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Wote ni mashahidi huyu dada anaejiita mwanaharakati Maria Sarungi anavyozua taharuki na kuwajengea watu hofu mitandaoni.

Ni mtoto wa Waziri mstaafu maarufu mzee wa kashfa ya meremeta na kasomeshwa na hela za CCM mpaka nje ya nchi leo ndio amekuwa front kuitukana serikali, kumzushia mabaya kiongozi wa nchi na kuzua taaruki.

Naomba Serikali imkamate mara moja ana hatarisha usalama wa nchi kwa maslahi yake nasikia analipwa na mashirika ya wazungu kutuchafulia nchi yetu.
Una uhakika kasomeshwa kwa hela ya CCM au ndiyo mkipigika kimaisha mnajipendekeza kwa watawala mkifikiri ndiyo mtamaliza dhiki zenu.
 
Back
Top Bottom