Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazi ya serikali ni kushughulikia majority sio mtu mmoja mmojaSasa ndio ujibu swali kwanini hajibiwi?
Naye Kafulila kamjibu kibinafs na kimbembele chake sio kama msemaji wa serikaliUkiacha Kafulila nani mwingine kamjibu?
Ameshapuuzwa yule hana hoja za maana zaidi ya wivu wa kukosa uwaziri. Kuna siku Mwigulu alimjibu akapotea kabisa. Mwigulu baada ya kumuona ni mweupe ameamua kuachana nayeMbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Joelson Mpina amekuwa akiishambulia kwa hoja nzito nzito Serikali ya awamu ya sita (6)lakini mamlaka husika ziko kimya kabisa.
Najaribu kufikiria kama Wananchi wataamua kuchukua hoja za Luhaga kama zilivyo basi CCM itakuwa imepoteza Ufuasi wa kiwango Cha Juu sana kwenye medani za siasa.
Nashindwa kuandika sawa sawa ila itoshe tu kusema Wateule msaidieni Rais kujibu hoja hizi nzito za Luhaga kwa wakati huku mtaani hali sio nzuri sana hivyo hatuna haja ya kujiamini kiasi hiki.
Kila mmoja amjibu Mpina Kwakuwa Uongo hauhitaji Itifaki kukabiliana nao, Mpina ajibiwe na Balozi wa nyumba kumi, Ajibiwe na diwani na Mbunge aijibiwe na kila mmoja mwenye majibu,
Pia soma
- Pre GE2025 - Luhaga Mpina: Baadhi ya Viongozi wa Serikali wanahusika kutorosha fedha
- Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu
Nahisi hufahamu Siasa kabisa wewe, anapuuzwaje mtu aliyefanya pressure conference ya Live?Kazi ya serikali ni kushughulikia majority sio mtu mmoja mmoja
Tanzania ina watu milioni 60 ikitaka ku.jibu mmoja mmoja kila anachoongea itakuwa ujinga ntupu
Ndio maana amepuuzwa
Ajibiwa wivu unaujua wewe tuAmeshapuuzwa yule hana hoja za maana zaidi ya wivu wa kukosa uwaziri. Kuna siku Mwigulu alimjibu akapotea kabisa. Mwigulu baada ya kumuona ni mweupe ameamua kuachana naye
Conference live hata wahuni wanafanya ni pesa yako ya kuwalipa wanakuja sio kitu kikubwaNahisi hufahamu Siasa kabisa wewe, anapuuzwaje mtu aliyefanya pressure conference ya Live?
Uongo hauhitaji Itifaki ili kujibiwa Mimi nampongeza Kafulila Yuko active sana lakini Waziri mwenye dhamani yeye pia ajitokezeNaye Kafulila kamjibu kibinafs na kimbembele chake sio kama msemaji wa serikali
Mbunge wa Kisesa CCM Mhe Luhaga Joelson Mpina amekuwa akiishambulia kwa hoja nzito nzito Serikali ya awamu ya sita (6)lakini mamlaka husika ziko kimya kabisa.
Najaribu kufikiria kama Wananchi wataamua kuchukua hoja za Luhaga kama zilivyo basi CCM itakuwa imepoteza Ufuasi wa kiwango Cha Juu sana kwenye medani za siasa.
Nashindwa kuandika sawa sawa ila itoshe tu kusema Wateule msaidieni Rais kujibu hoja hizi nzito za Luhaga kwa wakati huku mtaani hali sio nzuri sana hivyo hatuna haja ya kujiamini kiasi hiki.
Kila mmoja amjibu Mpina Kwakuwa Uongo hauhitaji Itifaki kukabiliana nao, Mpina ajibiwe na Balozi wa nyumba kumi, Ajibiwe na diwani na Mbunge aijibiwe na kila mmoja mwenye majibu,
Pia soma
- Pre GE2025 - Luhaga Mpina: Baadhi ya Viongozi wa Serikali wanahusika kutorosha fedha
- Luhaga Mpina: Wanaomsifia Rais Samia ndio hao wanaoongoza kwa kumhujumu na kufanya uovu
Je kajibiwa kwa ushahidi ama amejibiwa kama vile ambavyo Trump kagundua misaada inavyo walemaza waafrika kutotumia akili na nguvu zao kutotatua matatizo yao wenyewe pia matumizi mabaya ya hiyo misaada kama vyandaluwa kufugia kuku na kuvulia samakiUkiacha Kafulila nani mwingine kamjibu?
Uwazir unamuuma hadi keshoAmeshapuuzwa yule hana hoja za maana zaidi ya wivu wa kukosa uwaziri. Kuna siku Mwigulu alimjibu akapotea kabisa. Mwigulu baada ya kumuona ni mweupe ameamua kuachana naye
Naona hujui unachoandika hoja za Mpina ni Kali mno huko Kanda ya Ziwa Mpina ndio Msemaji wetuConference live hata wahuni wanafanya ni pesa yako ya kuwalipa wanakuja sio kitu kikubwa
Labda mwehu atahangaika kujibizana na Mpina. Watanzania wana akili, yule bwana amechanganyikiwa. Mbn hujiulizi vile vi kesi vyake vimeishia wapi. Yule amepuuzwa kwa ujumla wakeOnyesha uongo wake kwa kumjibu na hoja za kuonyesha uongo wake, serikali imekaa kimya sababu haina majibu
Uwazir unamuuma hadi kesho
Ni mbunge wa CCM aliyechangamkaLabda mwehu atahangaika kujibizana na Mpina. Watanzania wana akili, yule bwana amechanganyikiwa. Mbn hujiulizi vile vi kesi vyake vimeishia wapi. Yule amepuuzwa kwa ujumla wake
Pamoja na majibu mazuri ya Kafulila tunataka pia majibu ya Waziri wa fedha kwa faida ya kisiasaJe kajibiwa kwa ushahidi ama amejibiwa kama vile ambavyo Trump kagundua misaada inavyo walemaza waafrika kutotumia akili na nguvu zao kutotatua matatizo yao wenyewe pia matumizi mabaya ya hiyo misaada kama vyandaluwa kufugia kuku na kuvulia samaki
Jamaa ni Mzalendo sanaHujaona Kafulila amejibu au Kafulila hatoki Wizara ya fedha? Au unataka mpaka Mwigulu aseme?
Na wewe mjibu lakini uwe na majibu yenye ushahidi wa kutosha ambao hauna shakaHapana, Luhaga ni muongo muongo sana