Vitu vingine awaachie wenye eneo lao wakikaa kimya wana sababu zaoUongo hauhitaji Itifaki ili kujibiwa Mimi nampongeza Kafulila Yuko active sana lakini Waziri mwenye dhamani yeye pia ajitokeze
Aheshimu maeneo ya watu wengine awe active eneo lake.
Kudandia dandia maeneo ya watu waweza wenyewe wasipende kabisa au wakawa wenyewe walikuwa wakijianda kutoa official statement yeye keshakurupuka.Lengo lake la kukurupuka kujibu maeneo ya watu wengine ni kutaka kuwadhalisha mbele ya Raisi aliowateua kuwa wao hawajui kazi yeye ndie anajua kazi za maeneo hayo? Au nini? Nadhani hili la kudakia dakia maeneo ya watu litamtengenezea maadui .Wahusika hujua na kuamua wachukue hatua gani wajibu,wanyamaze au wafantaje Hayo huwa ni ya huko ndani kwa ndani kunakohusika ambako Kafulila sio sehemu ya huko.ndani .Hivyo hawezi nini kinaendelea
Kafulila Ahangaike na eneo lake alilopewa kusimamia huko kwenye PPP.Huko kwingine achie wenyewe ndio maana ya specialisation na division of labour kwenye serikali
Kafulila kuna uzi kichwani hauko.sawa