Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Hela ya pedi umeachiwa lkn dada?!!! Mbona kama hasira zote unanishushia Mimi?!!JF Ina Watu wajinga sana na wenye Uelewa mdogoo .
Umemsikiliza MPINA na kumwelewa?
ALAFU kwann CCM watu wajinga mnauelewa wa kufanana ...
Utasikia..
Kwan tunakopa tununue nguo za harusi?.
Tundu Lissu ni Kibaka.
MPINA ana chuki.
Hivi vichwan vyenu mnamatope ???
Daahh Sijui kwann nilizaliwa Tanzania yenye mijinga mijinga namna hii.
MPINA Kaongelea mauala makubwa na mazito, kaanzia madini mpaka Kilimo, wafanyakazi Mpaka Viongozi, hamna Mahali ambapo hajagusa.
ALAFU únakuta Jinga kama wewe hata Ujasikiliza Wala kusoma alichokisema MPINA.
Hivi Wakiongea wengine mnawasikiliza kwa uelekeo mmoja pia kama mpina?!!!