nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Yani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No unaanza kwa kumfos bossSasa mpaka mnakutana maana yake si mmeshapatana????!!!
Hiyo Chuki itatokea wapi tena?? 🤒😎
pale kati panaondoa stress zote, unashusha pumzi, utakulaje halafu uendelee kuchukiaYani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Kitaalamu na kiroho ni sawa na meza ya Bwana, kwa wakristo wanaoshiriki hiyo ibada wanaelewa vizuri.Yani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Huko kuforce kunakuwa na utofauti gani na ubakaji sasa??? 🤒 😎No unaanza kwa kumfos boss
Tendo takatifu kabisa chuki haina nafasiYani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
NdiwooooYani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Sio kweli mbona watu wanafanya ngono nje ya ndoa na wanaprosper...Kitaalamu na kiroho ni sawa na meza ya Bwana, kwa wakristo wanaoshiriki hiyo ibada wanaelewa vizuri.
Tendo la ndoa ni ibada kamili na ndo maana endapo unashiriki na hauko ndani ya ndoa tegemea uharibifu tu..
Ile ni show ya nafsi na nafsi zaidi na ndo maana ule wakati milango ya kuzama rohoni inakuwa imefunguliwa kwa ukubwa sana.
Usishangae watu wakati wa tendo wakawa wanafanya maombi.
Naomba niishie hapa furahia mke wa ujana wako Mkuu..
Ila kwa sie wazinzi inakuwa vice versa yaani ukishakula mzigo tuu unamuona mwanamke kama likinyago flani...uzuri wote unapotea...hapo sijui kinatokeaga niniYani nimekuja kucheki ukifarakna na wife mkakutana tu na mwenzio yani baada ya mchezo tu chuki zinayeyuka hivi kuna siri gani hapa katikati?
Sijazungumzia aina hii ya uharibifu pekee yake mkuuSio kweli mbona watu wanafanya ngono nje ya ndoa na wanaprosper...