Kwanini shetani anatumia nguvu nyingi sana ku-promote ushoga (mapenzi ya jinsia moja) kuliko dhambi nyingine?

Kwanini shetani anatumia nguvu nyingi sana ku-promote ushoga (mapenzi ya jinsia moja) kuliko dhambi nyingine?

Yani kuna dhambi za uzinzi, uongo, wizi, na vyote vinampeleka mtu motoni ila cjaelewa kwanini ibilisi anapenda sana kupigia promo ushoga kupitia filamu za hollywood, mitandao, nyimbo za wasanii, taasisi kubwa za kifedha duniani, na mataifa makubwa, hadi kufikia baadhi ya mataifa kuhalalisha ushoga kwenye sheria zake

Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.

Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini
Tafuta muda ukosome kuhusu Georgia stone.
Angalia sharti la kwanza kabisa..
 
Yani kuna dhambi za uzinzi, uongo, wizi, na vyote vinampeleka mtu motoni ila cjaelewa kwanini ibilisi anapenda sana kupigia promo ushoga kupitia filamu za hollywood, mitandao, nyimbo za wasanii, taasisi kubwa za kifedha duniani, na mataifa makubwa, hadi kufikia baadhi ya mataifa kuhalalisha ushoga kwenye sheria zake

Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.

Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini
Na wewe anakutumia kuifanyia promotion kupitia andiko lako hili. Shituka na kimbia
 
Yani kuna dhambi za uzinzi, uongo, wizi, na vyote vinampeleka mtu motoni ila cjaelewa kwanini ibilisi anapenda sana kupigia promo ushoga kupitia filamu za hollywood, mitandao, nyimbo za wasanii, taasisi kubwa za kifedha duniani, na mataifa makubwa, hadi kufikia baadhi ya mataifa kuhalalisha ushoga kwenye sheria zake

Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.

Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini
Wala sio shetani usimsingizie. Ni akili za binadamu na muda wake umefika. Kila zama na kitabu chake. Miaka 20 ijayo huenda ushoga usiwepo iwe jambo jingine kutokana na zama za wakati huo. Shetani has nothing to na hizi mambo za ushoga.
 
Naskia wengine wanapewa sharti na waganga, ni kama kafara... Hii sanasana kwa vigogo hapa tz naskia wanaharibu sana vijana.
 
Ushoga na mapenzi ya jinsia moja hupunguza uzazi yaani Ni mbinu inayotumika kuua kizazi!!!Birth control!!UWEZO WA KUZAA UNAKUFA KABISA NA KIZAZI HUPOTEA!!
Hoja yako haina mashiko. Aliyekuambia
mashoga hawazalishi ni nani ? Huko kwa wenzetu gays na lesbians wanaoana na couples zao zina watoto Sasa utasemaje inatumika kuua kizazi, Njia za kupata watoto siku hizi ziko nyingi .

Siku nyingine usiongee vitu usivyovijua .
 
Yani kuna dhambi za uzinzi, uongo, wizi, na vyote vinampeleka mtu motoni ila cjaelewa kwanini ibilisi anapenda sana kupigia promo ushoga kupitia filamu za hollywood, mitandao, nyimbo za wasanii, taasisi kubwa za kifedha duniani, na mataifa makubwa, hadi kufikia baadhi ya mataifa kuhalalisha ushoga kwenye sheria zake

Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.

Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini
Shetani na malaika ni mwanadamu.
 
Yani kuna dhambi za uzinzi, uongo, wizi, na vyote vinampeleka mtu motoni ila cjaelewa kwanini ibilisi anapenda sana kupigia promo ushoga kupitia filamu za hollywood, mitandao, nyimbo za wasanii, taasisi kubwa za kifedha duniani, na mataifa makubwa, hadi kufikia baadhi ya mataifa kuhalalisha ushoga kwenye sheria zake

Ushoga unahalishwa wa kisingizio cha haki za binadamu lgbtq rights, kwa mtu mwenye akili timamu anaefatilia mitandao atagundua hii dhambi inafosiwa sana kuingizwa kwenye akili zetu ili ionekane kama ni jambo la kawaida.

Sijajua aim ya shetani kwenye hilo ni nini
Hakuna suala la shetani sijui ku-promote sijui ni nini

Ushoga ulikuwepo ,upo na utaendelea kuwepo.. Mambo yalikua yanafanyika under carpet, Sasa hivi watu wanataka waishi maisha yao kwa uhuru Kila mtu afanye linalomuhusu bila kudhuru mtu mwingine.
 
Ushoga na mapenzi ya jinsia moja hupunguza uzazi yaani Ni mbinu inayotumika kuua kizazi!!!Birth control!!UWEZO WA KUZAA UNAKUFA KABISA NA KIZAZI HUPOTEA!!
Hizo ni project za CIA unajua watu wakiwa mashoga hata vitendo vya kihalifu vitapungua.. maana mashoga ni watu laini laini nyoronyoro..

Hivi vitu vipo kwa sababu.. na agenda zimefichwa
 
Vipi Kuhusu Tundu lissu ? Yeye ana promote nini ?
Kazi kujichekesha ovyoo tu mfyuu.
Mimi nimeuliza,Serikali ya CCM inapotumia nguvu nyingi sana kupromote ushoga,je ni Serikali ya kishetani?
G75.jpg


Tundu Lisu kuunga mkono ushoga au la haijibu swali hili.Nahitaji majibu ya swali hili.
 
Mimi nimeuliza,Serikali ya CCM inapotumia nguvu nyingi sana kupromote ushoga,je ni Serikali ya kishetani?View attachment 2057717

Tundu Lisu kuunga mkono ushoga au la haijibu swali hili.Nahitaji majibu ya swali hili
Hivi Serikali Imetumia nguvu nyingi ku-promote ushoga lini ?

Mbona mnapenda sana kutunga uongo. Hiyo statement ya lugola ina shida gani ?

Wapenzi wa jinsia moja ni haki yao kuwa Salama ndani ya nchi yao Kama raia wengine. Kwahiyo Serikali imetimiza wajibu wake. Kwahiyo kwa jambo hili Serikali ya ccm ni malaika sio mashetani.
 
Back
Top Bottom