Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

Kwa hoja yako hii basi Pemba na Unguja yangekuwa ni maeneo yenye GDP kubwa zaidi Tanzania. Ila uko kuna wilaya zinaingia top 5 ya wilaya zisizo na vyoo Tanzania, wanaongoza kwa kunya vichakani.
 
Anna tibaijuka anayo majibu ya kutosha juu ya swali lako. Fuatilia ili ujue wale wanaoteuliwa kusahihisha mitihani, pamoja na maagizo wanayopewa
Ingawa itakuwa NI ngumu kumeza, lkn kuna kitu utaking'amua
Hayo majibu Ana Tibaijuka hana. Hakuna mahala popote amehusisha ufaulu wa mwanafunzi na dini yake.
 
Mkuu ninachojua Feza sio shule ya Kiislamu hata kama inamilikiwa na Waturuki ambao almost wote ni Waislamu. Ni sawa na useme Tusiime au Kaizilege ni za Wakristu kisa dini za wamiliki.

Aga Khan ni taasisi ya Kiislamu ya kimataifa hivyo katika kujibu changamoto yetu bado haiwi mfano mzuri.
Hizo nyingine naamini ndio za kwetu wabongo wenyewe.

Hapa nchini tuna Al Muntazir ni International School ya Kiislamu, sijajua kama kuna International School ya Kikristo.

Shule za BAKWATA nazo ni za Waislamu, hakuna sister wa kanisa au padre anaziongoza. BAKWATA sio Walutheri wala walokole.
 
Nina experience na shule moja ya kiislam maarufu sana mkoa niliopo, kuna siku kulikuwa na tamasha la wanafunzi ambapo sisi tulikuwa wadhamini. Ilikuwepo na shule ya Baptist na shule zingine. Aisee wale wasichana wa shule ya kiislam pamoja na kuvaa hijabu lakini walikuwa hawana hofu ya kufanya vitu vya ajabu mbele ya wazazi. Wamezoeana na walimu kupita kawaida, wanakumbatiana na walimu mpaka tukabaki kushangaa. Muziki ukipigwa wanakatika mpaka wanalala chini kama wacheza shoo. Wale wa baptist walikuwa completely opposite. Hata kama walificha makucha lakini utofauti ulikuwa mkubwa sana. Kwa kile nilichokuona, division four is inevitable 😭😭😭
 
Anna tibaijuka anayo majibu ya kutosha juu ya swali lako. Fuatilia ili ujue wale wanaoteuliwa kusahihisha mitihani, pamoja na maagizo wanayopewa
Ingawa itakuwa NI ngumu kumeza, lkn kuna kitu utaking'amua
Hakuna unachofahamu kuhusu usahihishaji wa mitihani. Hakuna kisicho haki kitatendeka baada ya mtihani. Kwa jii post yako inaonyesha haupo kwenyw mfumo wa elimu kwa sasa hauna unachofahamu. Ficha ujinga wako.
 
Ukifa ndio utaongea vizuri, hiyo elimu yako ya dunia itakua haina nafasi wala maana baada ya kufa kwako
Umelishwa matango pori ukayameza mazima mazima, ukifa ndiyo imetoka hiyo.
Eti ukifa ndiyo utaongea vizuri, maiti haiongei ustaadh, ingekuwa kuna mtu ameshawahi kwenda huko unakokuita ahera na akarudi na ushahidi usiotia shaka hapo ingeeleweka lakini si hizi hadithi hizi za Pwagu na Pwaguzi zilizoletwa na Waarabu/Wazungu kwa ajili ya kupumbaza watu ili wafanikishe mambo yao bila vikwazo.
 
Elimu ya duniani tupo nyuma na ndio muhimu kwa maisha ya kawaida ya duniani
ٱعْلَمُوٓا۟ أَنَّمَا ٱلْحَيَوٰةُ ٱلدُّنْيَا لَعِبٌۭ وَلَهْوٌۭ وَزِينَةٌۭ وَتَفَاخُرٌۢ بَيْنَكُمْ وَتَكَاثُرٌۭ فِى ٱلْأَمْوَٰلِ وَٱلْأَوْلَـٰدِ ۖ كَمَثَلِ غَيْثٍ أَعْجَبَ ٱلْكُفَّارَ نَبَاتُهُۥ ثُمَّ يَهِيجُ فَتَرَىٰهُ مُصْفَرًّۭا ثُمَّ يَكُونُ حُطَـٰمًۭا ۖ وَفِى ٱلْـَٔاخِرَةِ عَذَابٌۭ شَدِيدٌۭ وَمَغْفِرَةٌۭ مِّنَ ٱللَّهِ وَرِضْوَٰنٌۭ ۚ وَمَا ٱلْحَيَوٰةُ ٱلدُّنْيَآ إِلَّا مَتَـٰعُ ٱلْغُرُورِ ٢٠
 
Buku haramu
 
Feza ni shule za kiisilamu, mwanzilishi wake Fethullah Gulen ni neo-Ottomanist na ana bifu sana na Erdogan ndio maana wakati wa Magu Uturuki walikua wanaforce sana zifungwe. Unaweza Google huyo mhusika kwa maelezo zaidi

Stage set for battle over Feza Schools

Kwani Shule za Wakatoliki ama Taasisi nyengine za Wakristo sio za Kimataifa?

Na tatizo hapa ni Bakwata, ingekua ni waisilamu basi taasisi zote zingefanya vibaya, why iwe ni wao tu?
 
Anna tibaijuka anayo majibu ya kutosha juu ya swali lako. Fuatilia ili ujue wale wanaoteuliwa kusahihisha mitihani, pamoja na maagizo wanayopewa
Ingawa itakuwa NI ngumu kumeza, lkn kuna kitu utaking'amua
Ana Tibaijuka ndiyo anayewateua? Na hili tatizo halipo Tanzania peke yake for your information, angalia nchi zote za Sub Saharan Africa kwanza angalia zenye majority ya Waislamu au jamii za Kiislamu katika nchi ambazo wamechanganyikana Waislamu na Wakristu. It's the shit, historically Waarabu(walioleta Uislamu) na Wazungu(walioleta Ukristu) wanatofauti sana jinsi wanavyozingatia elimu na ndiyo root ya yote haya.
 
Halafu kesho na keshokutwa, wagalatia wakijaa vyuo vikuu, wakiajiriwa zaidi, wakijaa serikalini na kwenye nafasi nyeti anatokea kima kadhaa wa kijahidina na kuropoka nchi hii ni mfumo kristo!
Ukiona vinaelea ujue vimeundwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…