Kwanini shule za kiislamu hazifanyi vizuri katika mitihani ya taifa?

We muisharam kweli,unashindwa kuelewa kuwa saudia bila USA ingekuwa ni chaka la magaidi.

Hayo mafuta bila kuvumbuliwa na mzungu waarabu wangekua bado wanachambia mchanga.

Venezuera kakataa sera za magharibi kawekewa vikwazo kila kona unatagemea atauzia wapi mafuta.

Kobazi acha ujinga.
 
Wanawaza jihad.
. Shule nyingi za kiislamu wanafundisha karate.
 
Kwasababu nyerere alikataa wasianzishe chuo kikuu mwaka 1968 chini ya EAMSW....
Hii ni kwa mujibu wa Mzee mohamed saidi
 


Mleta mada ni mchinganishi .
Kwa nini uminganishe shule za kiislam na shule za kikatoliki ?

Kuna ulinganifu gani kati ya nuru na giza ?

Kwa nini usilinganishe kati ya Shule za kikatoliki na shule za madhehebu Mengine ?
Au shule za Wasabato na shule za madhehebu Mengine?

Huoni kuwa hata madhehebu Mengine ya kikristo shule zao hazifanyi vizuri kama za kikatoliki?

Huoni kuwa kabla ya uhuru Kanisa la wanglicana na Lutherani yalikua na shule nyingi kuliko kanisa la Kikatoliki na zilifanya vizuri .Baada ya uhuru Anglicana na Lutherani shule zao zikaporwa na serikali . Wale wazungu waliokua wanasimamia zile shule wakarudi kwao na makanisa hayo yakajikuta yamepewa viongozi Makada wa CCM ili kuwapumbaza kama ilivyo Bakwata .
Shule chache sana za RC ndizo zilizotaifishwa . Madhehebu Mengine ikiwemo Uislam wakaanza upya kujenga shule baada ya Mfumo wa vyama vingi kuingia ndio maana Mkapa akirudisha baadhi ya shule. Kwa hiyo madhehebu Mengine ya Kikristo ukiwemo Uislam walikosa uzoefu wa kuendesha shule za private.

Wingi wa shule za kikatoliki ulifanya ziweze kugawanywa kimkakati na kwa malengo maalumu .

Madhebu mengine yana shule nyingi mchanganyiko wa wavulana na wasichana jambo linaloshusha sana ufaulu kutokana na umri wa kuanzia Form 3 wanafunzi wanaanza kwa na mabadiliko ya kimwili na kitabia hivyo kama hakuna uangalizi mzuri wanapoteza dira ya kusama kwa bidii.


Tulinganishe kwanza shule za Kikristo katika madhebu yake na zile za Kanisa la Kirumi . Lakini Uislama na ukatoliki ni kuwaonea . Uslama umeingia Afrika Mashariki tangu karne ya 9 lakini hapakuwa na Taasisi inayoitwa shule ya Sayansi au ya Kilimo au Sanaa .Wala chuo cha ualimu au cha ufundi au cha udaktari au unesi au uongozi au siasa au mifugo .
Kwa karne zaidi ya kumi tangu Uislam uingie Afrika mashariki palikua na Nyumba za ibadi maarufu kama misikiti ambayo ilitoa elimu ya kukariri Korani tu. Na hapakuwa na mitihani katika mfumo maalumu wa kitaifa .

Mwanga wa Elimu uliletwa na Ukristo kuanzia karne ya kumi na tisa .

Yaani kwa sasa Elimu rasmi ya dunia hapa Afrika mashariki haina muda wa zaidi ya miaka 160 .Wale wanaoudharau Ukristo kuwa haukuleta ukombozi Afrika hawajui chochote zaidi ya chuki .
Dini za asili na dini ya Kiislam pamoja na Kihindi zipo Afrika mashariki kwa muda mrefu lakini hazikuweza kujenga mifumo rasmi ya elimu . Jambo lililosababisha ukanda huu kubaki nyuma sana.
 
Saudi Arabia kafika alipofika kwa sababu ya USA, mambo ya petro dollar na kulindwa amekuwa akilindwa na USA kwa hiyo hakuna matumizi yoyote akili ya kiislam iiyochangia hayo maendeleo ya Saudia.
 
..Saudi, ni Wajanja wame procure expertise na technology kwa christians (the west), na Yuko protected na makafiri USA and it's allies😁
Ndio nachozungumzia kuwatumia wapumbavu kuwa tajiri sio kosa kwenye uislam,na hii Karume aliitumia vizuri sana ama haujui kua Mali za Tanzania bara ni za zanzibar pia,ila Mali za Zanzibar kwenye waislam 99% ni Zanzibar pekeeπŸ˜ƒπŸ˜„
 
Samia sio mtawala halisi ni rais wa mpito hakuna angeweza kumchagua
1.Wewe ni mkristo?
2.wewe ni msomi kuliko waislam?
3.Rais wa Tanzania kwa mujibu wa katiba ya jamhuri ya muungano ni nani?,tunavoongea sasa?
4.Je wewe ndio msomi?,πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜
Ndio maana Karume alikua hajui kusoma na kuandika ila akatia dole gumba hati ya muungano kuamali za Tanganyika ni za wote ila za Zanzibar zisivuke maji,kwa akili ya usomi wenu munaojisifiaπŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„
 
Elimu dunia si kipaumbele chetu.
 
Saudi Arabia kafika alipofika kwa sababu ya USA, mambo ya petro dollar na kulindwa amekuwa akilindwa na USA kwa hiyo hakuna matumizi yoyote akili ya kiislam iiyochangia hayo maendeleo ya Saudia.
Upo sahihi hata Iran,Iraq,united Arab Emirates,Libya, Morocco,Bahrain etc...........nchi zote zil zimefika pale sababu ya U.S.AπŸ˜€πŸ˜πŸ˜€πŸ˜πŸ˜†
Enhe mbona Angola,Zambia,D.R.C,Namibia kwenye wakatoliti 90% enheπŸ˜†,wamefika pale sababu ya VATICAN?πŸ˜πŸ˜†
 
Kwa sababu kule wanasoma vitu vingi ukijumuisha na dini. Huku upande wa pili wanaabudu hadi picha ya mzungu kwenye dini yao wapo sifuri.
Mara nyingi ukimkuta muislamu yupo vizuri amehifadhi Qur'an by default lazima upande mwingine wapo vizuri.
1.Nawaambia hao wapumbavu,uislam sio kuabudu picha na kuwela masanamu nyumbani kwako huku ukituma sadaka ziende ziliwe Vatican
2.Uislam ni mfumo mzima wa maisha ya kila siku kuanzia ndoa,watoto,Mali etc
3.Ni ngumu sana kukuta waislam wanagombani mali,ama kugombania watoto sijui hakuna kuachana,......huo upumbavu haupo
-------Na hii ndio sababu nchi za kiislam ni matajiri sana,sababu uislam umeweka wazi mukiwa na mali kwenye jamii yenu munaitumia vipi Ili Kila mt afaidike,
Huku hakuna kumchangi Padri Land cruiser huku mazombi viatu vimechanika wanawahi misa ya 2πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜…πŸ€£
 
Mkuuu samia hatuelewi anakotupeleka wana nufaika wachache, rushwa imetamalaki kila kona, ajira zimekuwa ngum, mtu anaongozwa na machawa hana maamuzi. Unaleta u zanzibar tu hapa tunazungumzia swala la kitaifa wewe unaleta ukabila
 
Shule za kiislam kwanza zifungwe shule zinakazana kufundisha ugaidi tu
 
Kwa hoja yako hii basi Pemba na Unguja yangekuwa ni maeneo yenye GDP kubwa zaidi Tanzania. Ila uko kuna wilaya zinaingia top 5 ya wilaya zisizo na vyoo Tanzania, wanaongoza kwa kunya vichakani.
Ina maana wewe hujui kua hapa Tanzania eneo Pele lenye watu chini ya 2M na lina GDP kubwa ni Zanzibar?πŸ˜πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜†................
1.GDP ya Zanzibar ni 10TrillionTsh,sema eneo lenye watu 2M ndani ya united republic of Tanzania lina hio GDP?
2.Je wewe sio Msomi wa Kikristo?πŸ˜ƒπŸ˜πŸ˜ƒ
3.Je unauhakika wewe sio mpumbavu?
4.Congo,D.R.C 90% ni wakataloki,unajua Kwa nini,Wana Mali nyingi kuliko Algeria yenye waislam 90%,ila D.R.C ni masikini mara 1000 ya Algeria?πŸ˜„πŸ˜†πŸ˜†
 

Attachments

  • Screenshot_20250211-181114.png
    133.4 KB · Views: 1
Ngoja nije zanzibar ni kuwafyatua vinyeo tu mpaka akili ziwakae sawa
 
Mkuuu samia hatuelewi anakotupeleka wana nufaika wachache, rushwa imetamalaki kila kona, ajira zimekuwa ngum, mtu anaongozwa na machawa hana maamuzi. Unaleta u zanzibar tu hapa tunazungumzia swala la kitaifa wewe unaleta ukabila
Sass kama ninyo wenyewe hamuajielewi unategema mtu atoke nje ya nchi aje kukunufaisha?
1.Nyerere msomi wa Kikristo alisaini mktaba na Zanzibar,Mali za Tanganyika ziwe za Zanzibar pia,hau hajui kua SMS inamiliki ardhi Tanganyika?,na inanufaika na madini ya TanganyikaπŸ˜πŸ˜†πŸ˜†
2.Haujui kua Mkapa Msomi wa Kikristo ndio alieuza migodi kwa 3%,πŸ˜„πŸ˜†πŸ˜ƒπŸ˜†πŸ˜ƒ
3.Je wewe naye ni msomi wa Kikristo?
4.je wewe nae sio mpumbavu?
Baada ya kumsifu Samia,raia wa Zanzibar kuwatawala waumbavu wasiojielewa wewe unasema ndio amekuletea umasikini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…