Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Nimesikia katika vyombo vya habari vya ndani na vya kimataifa kuwa Rais Samia Suluhu ametimiza siku 100 madarakani leo 27/06/2021.
Nachokumbuka huyu Rais Samia alikula kiapo cha kuwa Rais wa JMT tarehe 19/03/2021 na hivyo siku 100 ni keshokutwa 29/06/2021.
Inakumbukwa Rais John Magufuli alifariki tarehe 17/06/2021 na kwa muda huo haikuwa rasmi kuwa tayari nchi imekuwa chini ya Makamu wa Rais isipokuwa tu pale alipokula kiapo rasmi tarehe 19/03/2021.
Ikumbukwe pia hapo tu baada ya Kifo cha Hayati Magufuli kulikuwa na kukuruka nyingi za nani awe Rais na ndiyo maana tulimaliza takriban siku mbili bila kuwa na Rais rasmi wa JMT japo katiba ilikuwa wazi kabisa.
Niondoeni tongotongo kwani atimize siku 100 leo.
Asanteni.
Nachokumbuka huyu Rais Samia alikula kiapo cha kuwa Rais wa JMT tarehe 19/03/2021 na hivyo siku 100 ni keshokutwa 29/06/2021.
Inakumbukwa Rais John Magufuli alifariki tarehe 17/06/2021 na kwa muda huo haikuwa rasmi kuwa tayari nchi imekuwa chini ya Makamu wa Rais isipokuwa tu pale alipokula kiapo rasmi tarehe 19/03/2021.
Ikumbukwe pia hapo tu baada ya Kifo cha Hayati Magufuli kulikuwa na kukuruka nyingi za nani awe Rais na ndiyo maana tulimaliza takriban siku mbili bila kuwa na Rais rasmi wa JMT japo katiba ilikuwa wazi kabisa.
Niondoeni tongotongo kwani atimize siku 100 leo.
Asanteni.