Kwanini siku(days) zilipewa majina ya kiislamu..?

Sema kiarabu siyo kiislam
 
Aliegundu kalenda ni mmisri na wote kule ni waarabu ndio maana ilipewa majina ya kiislam
 
Kinsingi waislam wanatoa majina siku ambayo amazaliwa mtoto na pia kumbuka hiyo ni kwa lugha ama tafsir ya kiswahil ukija kifaransa hakuna upupu huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…