Kwa mwanachuo mwenye akili ukipata mkopo unapomaliza chuo lazima uwe tajiri. Kama huna uwezo wa kubadili maisha yako na boom hata ukiajiriwa wewe bado ni mzigo. Ni maoni yangu hasa kwa waliopata mkopo zaidi ya 50%.sasa ntamlea vipi hapa nilishasaini boom la mwisho na huko kitaa nasikia ajira hazipo kabisa yani nmedata
Mkuu ww wa chuo Gan tuanzie hapowe nae unazidi kunivuruga tu
Kama mimiiiiii yaani hivyo hivyo iseee, tumetungana mimba tuko chuoni Mwaka wa tatu wote tukaingia kitaa bila ya kuwa na source of income but at the end of the day tukaajiliwa pamoja one day pamoja, tulifurahi kwa kulia isee, Mungu ni mwemakitu ambacho kinanishangaza madem wa chuo wanashika mimba wakiwa mwaka wa tatu tu
yan first n second ni wachache mno
sie tulivofika third yr ukienda lecturer unahisi umekosea umeingia clinic kila dem ana mimba
Post sent using JamiiForums mobile app
Brother imebid nifungue account jamii forum kwa ajili yako aicee...kwanza kabisa hongera kwa yaliyokukuta...ila nikushaur tu mheshimu na jivunie kupata mwanamke aliyekupa hadhi ya kuwa baba..usifikirie kabisa kutoa mimba watoto n baraka kutoka kwa mungu umemaliza chuo njia zitaanza kufunguka soon usijali kwa hilo mbaba..,mm nna ushuhuda wangu nmepitia katka mapito kama yako ila kpnd ambacho mimba ya mwanangu inatungwa nilikuwa sina ajira,biashara zangu zilikufa na nilikuwa nadaiwa zaid ya mil4 ambayo ilikuwa n pesa ya mtaji kwa biashara ambayo nayo ilikufa,nakumbuka kipind hcho kila nikiona simu inaita tena kwa namba ya huyo mwanamke mapigo yangu yalikuwa yanaenda mbio sana na ikizingatiwa alikuwa ndo katoka kumaliza shule alevel na hakuwa na mbele wala nyuma kila kitu alinitegemea mm..,nakumbuka nilikuwa nadharau sana baadhi ya ajira ambazo s taaluma yangu but ilibid nifanye kaz za vpato vdogo kabisa 300000 kwa mwez ambayo yote ilikuwa n kulipa maden kulea mimba,,,kipnd hiki nilimuita mungu na kuona ukuu wake maana had leo hapa nilipo ni kwa neema zangu mwanangu alizaliwa salama na hapo milango ya ajira ikafunguka kwa sasa nipo sehem ambayo namuhudumia kwa kila kitu mwangu na sitak akose malez ya baba lkn pia nadhn kama tungetoa mimba nisingepigana kama vile mpaka kufika hapa nilipo
Mkuu wewe ni muuaji unamwambiaje mwenzako atoe mimbaHabari wakuu,
Mimi nawauliza dada zetu wanaobahatika kufika elimu ya chuo kikuu,
kwanini ukipata boyfriend unaamua kutega mimba pasipo hata kuangalia uyo mtu amejipanga vipi yani kiufupi mnatupa mizigo pasipo kutegemea.
Najua kwa mdada wa chuo huwezi kusema mimba imeingia bahati mbaya coz mnajielewa vizuri tu na makarenda yenu, sasa kwanini mnategesha mimba afu mnaanza kutusumbua jamani eh?
Mimi inaniuma sana maana kuna binti amenitegeshea mimba na wakati nipo mwaka wa tatu sijui hata kama nitapata ajira baada ya kumaliza chuo au lah! yani nina hasira nae natamani hata nimzabe makofi afu hata hataki kutoa mimba yani mh!
Mungu anawaona nyie mabinti mnaotegesha mimba makusudi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuu umenichekeshaMkuu maisha ni haya haya tu hasa unavyoona Sizonje anazidi kutuzika, fanya kila jambo kwa wakati kadri utakavyoweza. Ukisubiri hadi ujipange unaweza kufa bila hata mtoto. Wewe shangilia tena ikiwezekana tafuta toto jingine yawe mawili au matatu hivi angalau uwe na jeshi la kutosha.
Mimi mwenyewe kapuku ila nataka nipate makamanda wa kutosha, wataishi tu, msosi ninaopiga nao watapiga huo huo. Maisha yenyewe yanazidi kuwa mafupi haya ya nini kufa bila kuacha jina?
Sent from my Nokia-toch using JamiiForums mobile app
Leo hauko upande wa mtoa mada?hebu lea huyo mtoto
mtoto atakua tu usiogope
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] polee naona bidada kaona achukue chake mapema kwa kushika mimba, maana mapenzi ya chuo bwana mkimaliza na mapenzi yanafika mwisho.
Ndio uanze kufikiria kama mtu mzima maana ulikimbilia ya watu wazima. Acha kulia lia, wewe tayari ni baba mtarajiwa. Pambana na hali yako.sasa ntamlea vipi hapa nilishasaini boom la mwisho na huko kitaa nasikia ajira hazipo kabisa yani nmedata
Eti ametegeshewa!! Utafikiri alishikiwa bunduki!!Mimba haitegeshwi!
Kwanini usingevaa kondom?
Basi endelea tu kumpenda zaidi maana sasa ana kiumbe chako tumboni. Hiyo ndio tafsiri ya upendo.Nilikua nikivaa kondom anakataa anasema eti zinamuumiza, basi kwa vile nilimpenda nikaamua kua namla bila gwanda.
Mkuu daaaahWewe mwehu isee, Mimi mwenyewe nilimdunga mimba mke wangu tukiwa chuoni mwaka wa tatu wote, na tukaingia mtaani na mimba yetu na sikujilaumu na nilikuwa na ma confidence at 95% level of significant, na demu wangu akajifungua tukawa tuna ishi pamoja kwa kuhangaika na maisha ya dar hivyo hivyo huku tukiamini ipo siku Mungu atafungua njia za maisha mazuri, sasa cha kushangaza iseee, tukaajiriwa wote pamoja tena siku moja, tena taasisi nzuriiii za serikali, na hadi sasa tunasonga mbele kwa raha mustareheeeee
Post sent using JamiiForums mobile app
Eti ametegeshewa!! Utafikiri alishikiwa bunduki!!
Ndio hapo sasa!! Leo anamruka mwenzie.Na ukute hata jina la mtoto walishachaguaga wakati wa penzi jipya